Friday, January 09, 2009

CECAFA Challenge Cup

Kilimanjaro Stars imefanikiwa kuvuka kuingia hatua ya Nusu Fainali licha ya kuchapwa 1-2 na Uganda Cranes.

Stars imevuka baada ya kuwa na tofauti nzuri ya magoli ukilinganisha na Rwanda.

Mechi za Kilimanjaro Stars: 0-1 (Somalia), 2-1 (Zanzibar), 2-0 (Rwanda), 1-2 (Uganda)

Mechi za Rwanda: 0-4 (Uganda), 3-0 (Somalia), 0-2(T'Bara), 3-0(Zanzibar)

Kwa mechi hizo hapo juu:
Kilimanjaro ina Point 6; magoli ya kufunga 5, ya kufungwa 4 ...Goal Difference ( 5-4 ) = 1

Rwanda ina pointi 6; magoli ya kufunga 6, magoli ya kufungwa 6....Goal Difference (6-6) = 0


5 comments:

Anonymous said...

matokeo bado yale yale

Anonymous said...

LEO KAZI IPO TZ HIYO NI KAMA FAINALI

Anonymous said...

ukisha mpira kwa matokeo hayo bado tunayo nafasi ya kuendelea iwapo mechi ya pili drew

Anonymous said...

Kenya 2 Tz 0. Dakika ya 20

Anonymous said...

Tumepata bao dk 77. Mfungaji Danny Mrwanda. Tupo nyuma 2-1