Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Wednesday, October 14, 2009
Changia Yanga kwa M - PESA
Wanachama na mashabiki wa vilabu vya Yanga na Simba sasa wataweza kuvichangia vilabu vyao kwa mpango mpya unaoratibiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kupitia mpango wake wa M-PESA.
No comments:
Post a Comment