Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Vipi wadau matokeo yakoje?Tupatie update za mechi
Mwanza ni mapumziko simba 2 ruvu shooting 1
Moro Mtibwa I Yanga 0 ni halftime sasa
yanga 2 mtibwa 1
Dk 7 mgosi anapaisha penati walio pata simba baada ya shija mkina kufanyiwa madhabi. ruvu wamekosa goli la wazi dk 8. matokeo bado 2 kwa 1
Yanga 0 Mtibwa 0, mbona tunadanganyana hapa? hayo magoli mmeyapata wapi na lini?
yanga 3 mtibwa 1[tegete 2,chuji 1]
hadi mapumziko matokeo yalikuwa mtibwa 1 na yanga 0. mambo magumu sana leo.
Tuache danganya toto humu ndani jamani.wote tumeshakuwa na tuache mambo ya kitoto.tuweke mambo ya ukweli hata kama timu tunayofuatalia inafanya vibaya.yote ni sehemu ya michezo na tukubali matokeo
Tina sema wewe maana hapa ni utoto mtupu
yanga 1 mtibwa 1 (full time mfungaji Abdi Kasim)
cm tumwagie ukweli hapa mkuu,kila mtu anatoa matokeo yake,ukweli ni upi?
ukwelli ni moja moja
Tumetoka sare 1-1 bao la Yanga limesawazishwa ktk dk ya 73 na Abdi Kassim.Simba 2 Ruvu 1Kagera 1 Azam 0
sisi waleeee,tofauti points 2 ,mkigongwa na azam,kagera,mnyama mara 2 , kwishne,mtabaki kusawazisha kila mechi mgongowazi nyie,wapaa samaki ferry,wabeba rumbesa tandale kwa matunda ngozoma,wachawi mwembe yanga tandika,mafisadi chichiemu nyie,siwapendi sembe njano nyie kudadeki zenu.
we lazima usipende hujasahau na msubiri tu madua ya kuku mtakipata tena kipigo mbona bado mapema mtanunua mechi ngapi?
Tumesajili wachezaji kwa bei kali, sasa na kocha tunaye mkali sasa tatizo ni nini?
Post a Comment
18 comments:
Vipi wadau matokeo yakoje?
Tupatie update za mechi
Mwanza ni mapumziko simba 2 ruvu shooting 1
Moro Mtibwa I Yanga 0 ni halftime sasa
yanga 2 mtibwa 1
Dk 7 mgosi anapaisha penati walio pata simba baada ya shija mkina kufanyiwa madhabi. ruvu wamekosa goli la wazi dk 8. matokeo bado 2 kwa 1
Yanga 0 Mtibwa 0, mbona tunadanganyana hapa? hayo magoli mmeyapata wapi na lini?
yanga 3 mtibwa 1[tegete 2,chuji 1]
hadi mapumziko matokeo yalikuwa mtibwa 1 na yanga 0. mambo magumu sana leo.
Tuache danganya toto humu ndani jamani.wote tumeshakuwa na tuache mambo ya kitoto.tuweke mambo ya ukweli hata kama timu tunayofuatalia inafanya vibaya.yote ni sehemu ya michezo na tukubali matokeo
Tina sema wewe maana hapa ni utoto mtupu
yanga 1 mtibwa 1 (full time mfungaji Abdi Kasim)
cm tumwagie ukweli hapa mkuu,kila mtu anatoa matokeo yake,ukweli ni upi?
cm tumwagie ukweli hapa mkuu,kila mtu anatoa matokeo yake,ukweli ni upi?
ukwelli ni moja moja
Tumetoka sare 1-1 bao la Yanga limesawazishwa ktk dk ya 73 na Abdi Kassim.
Simba 2 Ruvu 1
Kagera 1 Azam 0
sisi waleeee,tofauti points 2 ,mkigongwa na azam,kagera,mnyama mara 2 , kwishne,mtabaki kusawazisha kila mechi mgongowazi nyie,wapaa samaki ferry,wabeba rumbesa tandale kwa matunda ngozoma,wachawi mwembe yanga tandika,mafisadi chichiemu nyie,siwapendi sembe njano nyie kudadeki zenu.
we lazima usipende hujasahau na msubiri tu madua ya kuku mtakipata tena kipigo mbona bado mapema mtanunua mechi ngapi?
Tumesajili wachezaji kwa bei kali, sasa na kocha tunaye mkali sasa tatizo ni nini?
Post a Comment