YAANI KWA KWELI MIE SIAMINI KILICHOTOKEA KWA MTIBWA. SIMBA HAWA WATASEMA SEMA SANA.CM LEO UWE TAYARI KUTUJUZA. NAOMBA WADAU MNIPE JIBU, KWA NINI HUYO ASAMOAH HAKUCHEZA SIKU ILE ? TATIZO NINI? NI MAJERUHI AU?
BWANA ALEX UMEPOTELEA WAPI BWANA TUNAKUTAFUTA SANA HUPATIKANI. TATIZO LA YANGA KWA MWAKA HUU KUSEMA KWELI HATUNA WASHAMBULIAJI KABISA. NI AFADHALI ILIVYOKUWA KWA KINA AMBANI.UMEBADILISHA NAMBA ZA KILONGA LONGA CHAKO?
BWANA ALEX UMEPOTELEA WAPI BWANA TUNAKUTAFUTA SANA HUPATIKANI. TATIZO LA YANGA KWA MWAKA HUU KUSEMA KWELI HATUNA WASHAMBULIAJI KABISA. NI AFADHALI ILIVYOKUWA KWA KINA AMBANI.UMEBADILISHA NAMBA ZA KILONGA LONGA CHAKO?
Mzee Masebe Tegete anakosa mabao sana. Kwa sasa napatikana kwa namba 0754 918212, hata hivyo nilienda uganda kwa babu so nilikuwa sipatikani kabisa. Kesho LIverpool na Man Utd Unasemaje?
wee pikipiki tunataka doz nene sio mpira wa majigambo ya maneno mwisho ya yote simba bingwa mechi 5 kabla ya kuisha msimu kisa ana magoli ya kufunga ponts tuko sawa , mimi kama mwana kwara sihusudu ushindi kiduchu,amusajili nini? hapendwi mtu hapa bila ya ushindi mdau napoli
somo kubwa kwa yanga,simba na azam, vipaji viko hapahapa bongo mnatumia mamilioni ya shillingi kuwatajirisha wachezaji wa nje kwa kuwasajiri wasio na uwezo wwt.timu kama majimaji,ruvu na zingine zina sajiri hapahapa bongo na kuonyesha viwango vikubwa zaidi yenu wenye mapro feki.
Uwepo wa wachezaji wa nje ni muhimu kwani wanaongeza ushindani kwenye timu, na kwa siku za mbeleni utaona wachezaji wa nyumbani wanainuka maana wanalazimishwa kujituma mazoezini maana hamna uhakika wa namba.
26 comments:
JAMANI LEO YANGA WASITUCHEFUE KAMA JUZI, WAJITAHIDI SIMBA WATAJIDAI SANA HAWALOH, MASEBE HUKO LAELA VIPI, MIE NIKO BUKOBA HAPA
YAANI KWA KWELI MIE SIAMINI KILICHOTOKEA KWA MTIBWA. SIMBA HAWA WATASEMA SEMA SANA.CM LEO UWE TAYARI KUTUJUZA. NAOMBA WADAU MNIPE JIBU, KWA NINI HUYO ASAMOAH HAKUCHEZA SIKU ILE ? TATIZO NINI? NI MAJERUHI AU?
eti ile mechi na maji maji ni leo ?
matokeo vipi jamaa!!!!!
Ni halftime, mambo bado ni 0-0.
Asamoah bado usajili wake haujakamilika.
ahsante tujulisheni matokeo maana tupo nje ya tanzania kila la kheri kwa wana yanga wote
NASHUKURU CM KWA HIYO ANACHEZA FRIEND MATCH TU LOH~ HIVI YANGA KUTOWAFUNGA HAO MAJIMAJI TATIZO NINI?
Ndo hivyo kipindi cha pili kinaanza ngoma bado suluhu
Ernest Boakye ametoka ameingia Godfrey Bonny
Mwanza mpira ni mapumziko Toto Africa 1 - Azam 0 mfungaji Sammy Kessy.
BWANA ALEX UMEPOTELEA WAPI BWANA TUNAKUTAFUTA SANA HUPATIKANI.
TATIZO LA YANGA KWA MWAKA HUU KUSEMA KWELI HATUNA WASHAMBULIAJI KABISA. NI AFADHALI ILIVYOKUWA KWA KINA AMBANI.UMEBADILISHA NAMBA ZA KILONGA LONGA CHAKO?
BWANA ALEX UMEPOTELEA WAPI BWANA TUNAKUTAFUTA SANA HUPATIKANI.
TATIZO LA YANGA KWA MWAKA HUU KUSEMA KWELI HATUNA WASHAMBULIAJI KABISA. NI AFADHALI ILIVYOKUWA KWA KINA AMBANI.UMEBADILISHA NAMBA ZA KILONGA LONGA CHAKO?
tumepata bao dk ya 67 kupitia kwa Jerry Tegete
Dakika ya 12 Yanga wanapata bao kuptia kwa Jerrison Tegete.
Sorry, ilikuwa dk ya 22.
Dk ya 71 Tegete amekosa bao lingine la wazi.
Mzee Masebe Tegete anakosa mabao sana. Kwa sasa napatikana kwa namba 0754 918212, hata hivyo nilienda uganda kwa babu so nilikuwa sipatikani kabisa. Kesho LIverpool na Man Utd Unasemaje?
JAMANI SASA YANGA MSHAMBULIAJI NI YUPI? NA HUYU ENOCK BWIGANE SIJUI YEYE TIMU GANI MAANA UTANGAZAJI WAKE UNANIPA UTATA
ILITAKIWA TUWE TUMEPIGA MABAO SI CHINI YA NNE
dk ya 83 Toto Africa 1 na Azam 0
AZAM NAWASHANGAAA, HAWAPISHANI NA CHAMA LANGU LIVERPOOL
HUYU OMEGA SEME ATATULETEA BALAAAA,
FT YANGA 1- MAJIMAJI 0
ASANTE BWANA MGANYIZI. AZAM NI KAMA MAN CITY, FEDHA TELE MPIRA 0.KESHO WAKAMATENI MAN U.NGASA ATARUDI MWAKA KESHO HAWEZI KUKAA KWENYE TIMU KIMEO
wee pikipiki tunataka doz nene sio mpira wa majigambo ya maneno mwisho ya yote simba bingwa mechi 5 kabla ya kuisha msimu kisa ana magoli ya kufunga ponts tuko sawa , mimi kama mwana kwara sihusudu ushindi kiduchu,amusajili nini? hapendwi mtu hapa bila ya ushindi mdau napoli
somo kubwa kwa yanga,simba na azam, vipaji viko hapahapa bongo mnatumia mamilioni ya shillingi kuwatajirisha wachezaji wa nje kwa kuwasajiri wasio na uwezo wwt.timu kama majimaji,ruvu na zingine zina sajiri hapahapa bongo na kuonyesha viwango vikubwa zaidi yenu wenye mapro feki.
Uwepo wa wachezaji wa nje ni muhimu kwani wanaongeza ushindani kwenye timu, na kwa siku za mbeleni utaona wachezaji wa nyumbani wanainuka maana wanalazimishwa kujituma mazoezini maana hamna uhakika wa namba.
Post a Comment