Yanga yatinga nusu fainali
Yanga ya Tanzania imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya kombe la Kagame baada ya kuifunga Red Sea ya Eritrea kwa penati 6-5.
Timu hizo mbili zilishindwa kufungana katika dakika 90 za mchezo hivyo kulazimika kutafuta mshindi kwa njia ya matuta.
Penalti za Yanga zilipigwa na
Shadrack Nsajigwa
Rashid Gumbo
Kiggi Makassy (alikosa)
Kenneth Asamoah
Davies Mwape
Nadir Haroub
Nurdin Bakari
Yanga sasa itakutana na St. George ya Ethiopia katika nusu fainali siku ya Ijumaa.
Timu hizo mbili zilishindwa kufungana katika dakika 90 za mchezo hivyo kulazimika kutafuta mshindi kwa njia ya matuta.
Penalti za Yanga zilipigwa na
Shadrack Nsajigwa
Rashid Gumbo
Kiggi Makassy (alikosa)
Kenneth Asamoah
Davies Mwape
Nadir Haroub
Nurdin Bakari
Yanga sasa itakutana na St. George ya Ethiopia katika nusu fainali siku ya Ijumaa.
6 comments:
nina wasiwasi na berko sifichi.
kila la kheri leo tunataka vijana wafanye kweli ili mnyama achinjwe fainali
Musubiri kichapo tu leo, hamutoki kwa st. George.
Mpira umeanza km dk 10 zilizopita.
Matokeo yanga 0 St. George 1
tutawaletea matokeo kadri yatakavyobadilika
liar
we usingizi kweli kweli
Post a Comment