tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post1527494459983416372..comments2023-11-05T15:42:14.351+03:00Comments on Dar Young Africans: Unknownnoreply@blogger.comBlogger3125tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-33343136679077588852007-05-15T16:45:00.000+03:002007-05-15T16:45:00.000+03:00ila tuacheni utani forward yetu inapwaya vibaya mn...ila tuacheni utani forward yetu inapwaya vibaya mno yaani ufungaji ni sifuriAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-32599263902580660922007-05-14T14:09:00.000+03:002007-05-14T14:09:00.000+03:00Huyu anonymous wa hapo juu mbona hajui anachoongea...Huyu anonymous wa hapo juu mbona hajui anachoongea ? Mambo ya mpira wa miguu atuachie siye na yeye aendelee na mambo ya netiboli !!!!Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-77197642558780902012007-05-10T18:48:00.000+03:002007-05-10T18:48:00.000+03:00Siiombei mabaya Stars, lakini nadhani Maximo tayar...Siiombei mabaya Stars, lakini nadhani Maximo tayari ameanza kulewa na siasa za mpira wa tanzania. Alichofanya ni kuchagua wachezaji 6 toka simba ya yanga (just balancing the numbers) na kuchukua wachezaji wengi wa mtibwa ili simba na yanga zisiwe na majority number. Hizo ndo siasa.<BR/><BR/>Wachezaji kama Hamis Yusuf, Athuman Idd na Mrisho Ngassa (sijui kwa nini hajamwita huyu dogo) wangestahili kuwepo.<BR/>Naamini uzoefu wa mechi za kimataifa ni muhimu. <BR/><BR/>Hao wengine wangeitwa baada ya mechi ya senego wakafanya mazoezi kwanza na kucheza mechi za kimataifa.<BR/><BR/>Sitashangaa senego wakitupiga goli 5 kirumba... naomba siku hiyo apangwe kipa wa simba.... (jocking..)<BR/><BR/>Mwaikimba acha apumzike kidogo, Simba nao wachezeshe strickers wao tuone... (utadhani hawakuwepo wakati wanatolewa na kitimu cha msumbiji)Anonymousnoreply@blogger.com