tag:blogger.com,1999:blog-388750992024-03-18T06:04:09.874+03:00Dar Young AfricansBlogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habariUnknownnoreply@blogger.comBlogger521125tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-19622767613081594672012-05-26T15:11:00.000+03:002012-05-26T15:11:37.444+03:00<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div>
</div>
<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="color: #33ff33; text-align: center;">
<span style="font-size: 180%;">Nchunga Ajiuzulu</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinWnwQxB0qtGZJlOdE56uh4jFm_kvyBRmbTrBrqaplbC6Sylj4_Voz2lRWSzfrsOM9ubxWjpYwlmZRFy03vkgaf8ROxAt92PvaCtmG9dr0Cs1jgQUQVPqx0EOLR3z6VinDt4nURw/s1600/nchunga%252520ajiuzulu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="229" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEinWnwQxB0qtGZJlOdE56uh4jFm_kvyBRmbTrBrqaplbC6Sylj4_Voz2lRWSzfrsOM9ubxWjpYwlmZRFy03vkgaf8ROxAt92PvaCtmG9dr0Cs1jgQUQVPqx0EOLR3z6VinDt4nURw/s320/nchunga%252520ajiuzulu.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
<div>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="color: yellow;">Hatimaye Mwenyekiti wa Yanga mwanasheria Lloyd <span style="color: yellow;">Nchunga ametangaza rasmi kujiuzulu</span> nafasi yake hiyo aliyokuwa anaishikilia baada ya kulalamikiwa na wanachama wa klabu hiyo kuwa ameshindwa kuwangoza. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Shinikizo lililomsukuma Nchunga kuachia madaraka hayo lilionekana kuzidi pale wanachama zaidi ya 700 walioongozwa na Baraza la Wazee walipokutana kwenye makao makuu ya klabu hiyo Jumapili iliyopita katika mkutano wa wanachama ambao haukuwa rasmi kwa mujibu wa katiba. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Ufuatao ni waraka wa kutangaza kujiuzulu kwa Mwenyekiti Lloyd Nchunga. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Ndugu wana Habari, </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Najua kwamba taarifa hii itawafedhehesha wajumbe na wanayanga wanaotuunga mkono,hasa ukizingatia maamuzi ya pamoja ya vikao vyetu vya kamati ya utendaji vilivyopita kwamba hakuna wa kujiuzulu kati yetu mpaka tujue hatma ya mkutano mkuu ambao tulipanga ufanyike tarehe 15 Julai 2012, ukiachia mbali shinikizo la kujiuzulu linalotolewa na baadhi ya wazee na wanaojiita vijana wa klabu, kwa wajumbe wa kamati ya utendaji, na hasa mimi kama mwenyekiti. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Nawashukuru wajumbe kwamba tulifanya kazi kwa pamoja na kwa ushirikiano mzuri, na hata pale tulipotofautiana tulifanya hivyo kwa hoja na kufikia maazimio ambayo wote tulikuwa tunawajibika nayo.</span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Tangu tumeingia madarakani tumeweza kushirikiana na kupata mataji matatu katika kipindi cha mwaka mmoja, yaani; Ngao ya Hisani 2010, Ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom 2010/2011, na Ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup), 2011. Zaidi ni kwamba tuliuwa uteja kwa watani wetu wa jadi kila tulipokutana katika ligi ukiachia mbali mechi ya tarehe 6 Mei 2012, ambayo tulifungwa goli 5 bila, na kuleta mtafaruku mkubwa katika klabu yetu. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Hali kadhalika tumeshirikiana mpaka tumeweza kuboresha mkataba kati yetu na TBL kupitia Kilimanjaro Premium Lager, tumeingia mkataba na kampuni ya NEDCO kuendeleza mali zetu katika mtaa wa mafia na uwanja wetu wa KAUNDA baada ya kufikia hatua nzuri katika kupata hati miliki za maeneo yote mawili. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Nafahamu kwamba kampuni hiyo iko katika hatua za mwisho za kumalizia michoro. Hali kadhalika tuliingia mkataba wa kuzalisha na kuuza bidhaa zenye nembo yetu na hasa baada ya kufanya marekebisho yatokanayo na matakwa ya sheria kule BRELA na pia mkataba na kampuni ya NEXUS LTD, ambayo itakuwa inatutafutia wadhamini wa nje na ndani, kufanya promosheni zetu na kampeni kwa njia ya electronic kupitia mitandao mbalimbali na kukusanya data za wanachama na kusajili wapya tukiwa na malengo ya kukusanya shilingi 300,000,000/= hadi 800,000,000/= kwa mwaka katika kipindi cha miaka mitatu. Haya yote tuliyafanya tukilenga kujitegemea kujazia mapengo yaliyokuwa yakitokana na kutegemea ufadhili wa mtu mmoja mmoja. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Kwa ridhaa yenu tumekua tukiendelea na mazungumzo na makampuni mbali mbali kwa ajili ya udhamini na kwa sababu maalum, nitazitaja katika hati ya makabidhiano kwa kiongozi ajaye. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Aidha, tumeshirikiana katika kufanya mambo mbali mbali ya kijamii, ikiwa ni pamoja na sikukuu ya kuadhimisha miaka 77 ya Yanga, sikukuu za pasaka, kuchangia jamii na waliokumbwa na maafa, na kongamano la vijana lililolenga kuwaamsha vijana kuitambua nafasi yao katika Yanga ikiwa ni pamoja na kupata azimio la kuanzisha SACCOSS ya Yanga, ambapo maombi yapo kwa msajili Manispaa ya Ilala. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Haya yote nayataja ikiwa ni kuwashukuru kwa ushirikiano na ikiwezekana muweze kuyakamilisha yaliyobaki ambayo mtaona yalikuwa mazuri. Lakini pia tulipopata matatizo tulikuwa pamoja. Nichelee kusema tu kwamba tulisimama pamoja baada ya kujiuzulu Makamu Mwenyekiti wetu Ndugu Davis Mosha na mjumbe wetu ndugu Seif A. Seif, Ali Mayayi, na wengineo, kwani tulifungwa na katiba.Tulisimama pamoja pia katika suala la kujiuzulu ndugu Yusuf M. Manji, aliyekuwa mdhamini mteule na mfadhili mkuu ambaye sasa ameonyesha nia ya kurudi nanyi mkaridhia mkutane naye. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Awali, tulitumia kila jitihada za kumrejesha lakini ikashindikana. Hata hivyo doa limetupata baada ya kufungwa na watani wetu goli 5 bila, ambapo kuna wanachama wanaoelewa na wasioelewa kabisa. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Ninachokiona mimi ni usaliti wa hali ya juu uliombatana na matukio mbalimbali yaliyopita na yanayoendelea hadi kujaribu kupindua uongozi wa halali wa kidemokrasia. SIWATUHUMU WACHEZAJI MOJA KWA MOJA, isipokuwa mfululizo wa matukio wiki tatu kabla ya mchezo ule na sasa, inaonyesha kwamba kulikuwa na usaliti mkubwa ambao sisi hatukuweza kuubaini mapema. Sioni mantiki katika hoja kwamba wachezaji walikuwa wakidai mishahara, posho n.k. Au ati mtendaji wetu alishikiliwa Arusha kwa deni la hoteli, ndiyo tuvune bao 5! </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Kwa wanaoijua Yanga, imewahi kuwa na madeni makubwa katika Hoteli mbali mbali, mawakala wa ndege n.k, na baadhi tumeyakuta na sisi tumekuja tukayalipa. Hii imewahi kutokea kabla na wakati akiwepo mfadhili, sembuse sisi tulioachwa baki, na bado wachezaji walicheza kwa morali. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Hata hivyo, utamaduni wa kutimuana baada ya matokeo mabaya ni dhambi ambayo itatula kama hatutaiacha, kwani wenye hila na uchu wa madaraka wataendelea kutumia mbinu hiyo ili kuuondoa uongozi wa kidemokrasia. Baada ya mapinduzi kushindikana na TFF kuonya kuhusu mapinduzi hayo, wazee kupitia msemaji wao , Mzee Akilimali wamesikika katika kipindi cha Michezo cha Redio moja maarufu hapa nchini wakidai kwamba ni bora Yanga ishushwe daraja au kufungiwa kuliko mimi kuendelea kuongoza! Hii imenikumbusha HEKMA ZA MFALME SELEMANI akiamulia ugomvi wa wanawake wawili waliokuwa wakigombea mtoto naye akaamuru wamgawane nusu kwa nusu. Yule mwenye mtoto kweli alimuomba Mfalme amuachie mwenzie kuliko kumkata nusu. Kwa hekma hiyo nimeamua kujiuzulu nafasi yangu katika Uenyekiti wa Yanga kwani ni klab ninayoipenda hata kama sio kiongozi kwa mujibu wa ibara ya 28 ya katiba yetu. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Vile vile siko tayari kuona klab yangu ikisalitiwa au kuhujumiwa eti kwa sababu tu mimi ni kiongozi. Natumaini kamati ya utendaji kwa pamoja na wale tuliowateua chini ya ibara ya 29(3) ya katiba ya Yanga pamoja na bodi ya wadhamini, itawaongoza wanachama mpaka kufikia mkutano mkuu kwa mafanikio zaidi. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Nitaendelea kuwa mwanachama mwadilifu na nitatoa mchango wangu wa hali na mali pale nitakapo hitajika na nikiwa na uwezo wa kufanya hivyo. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">YANGA DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO. </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Wasalaam, </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">LLOYD NCHUNGA BIHARAGU.</span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">Nakala kwa:- </span><br />
<span style="color: yellow;">Mama Fatma Karume,</span><br />
<span style="color: yellow;">Mdhamini Francis Kifukwe, </span><br />
<span style="color: yellow;">Mdhamini Bwana Yusuf Manji – Kwa taarifa </span><br />
<br />
<span style="color: yellow;">LLOYD NCHUNGA BIHARAGU</span><br />
<span style="color: yellow;">C/O LLOYD ADVOCATES, </span><br />
<span style="color: yellow;">Morogoro/Bibi TIti Mohamed Rd,</span><br />
<span style="color: yellow;">7th Floor, J.K. Nyerere Pension towers </span><br />
<span style="color: yellow;">P.O. BOX 75111, </span><br />
<span style="color: yellow;">Dar-Es- Salaam, </span><br />
<span style="color: yellow;">Tanzania. </span></div>
<span style="color: yellow;"><br /></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="color: yellow;"></span></div>
<br /></div>
<div style="color: #33ff33; text-align: center;">
</div>
</div>
</div>Unknownnoreply@blogger.com6tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-58940577836474559232012-05-08T08:02:00.000+03:002012-05-08T08:02:34.803+03:00Ligi Kuu ya Vodacom<div dir="ltr" style="text-align: left;" trbidi="on">
<div style="color: #33ff33; text-align: center;">
<span style="font-size: 180%;">Simba bingwa</span><br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi2048msuVUoi0efuKdxsUsAgJ25Q-CbTvMDaP8CpvQRy5VtrO9CiWO6yknmfqZB9qO82FqW8iDZNVXWmDyuFbDfx9gtL1Tu9xSzmQB4jNyI2sBAoCaKrKK4sP5Ov993HBkmmxJA/s1600/untitled.bmp" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="267" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhi2048msuVUoi0efuKdxsUsAgJ25Q-CbTvMDaP8CpvQRy5VtrO9CiWO6yknmfqZB9qO82FqW8iDZNVXWmDyuFbDfx9gtL1Tu9xSzmQB4jNyI2sBAoCaKrKK4sP5Ov993HBkmmxJA/s320/untitled.bmp" width="320" /></a></div>
<br />
<div>
</div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="color: yellow;">Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tz baada ya kujikusanyia pointi 62. Katika mchezo wa mwisho wa ligi hiyo, Simba iliichapa Yanga 5-0 na kukabidhiwa kombe katika uwanja wa Taifa Jijini Dar.</span></div>
<span style="color: yellow;"><br /></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="color: yellow;">Hongereni mabingwa.</span></div>
<br /></div>
<div style="color: #33ff33; text-align: center;">
</div>
</div>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-43321667139903665962011-10-30T18:33:00.002+03:002011-10-30T18:39:30.440+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Simba achinjwa</span><br /><br /><a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrf_8nnho78vR3dXKguOhGsBR2dlUutRXpgOQLaeFTelqB3iP3DEZpj5Cuc_I_r0p8-XbW1ezXQFk7s_6mfmy3Md3rlzEYWibKvlkKtJq9UNOE2EFi0tNfljEI2wg6b8S-ocFzCg/s1600/MWAPE.jpg"><img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 312px;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjrf_8nnho78vR3dXKguOhGsBR2dlUutRXpgOQLaeFTelqB3iP3DEZpj5Cuc_I_r0p8-XbW1ezXQFk7s_6mfmy3Md3rlzEYWibKvlkKtJq9UNOE2EFi0tNfljEI2wg6b8S-ocFzCg/s400/MWAPE.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5669309037296877618" /></a><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Goli pekee liliofungwa na Mzambia Davies Mwape lilitosha kutibua rekodi ya Simba ya kutofungwa katika ligi kuu ya Vodacom Tz.<br /><br />Hongereni Yanga<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-73071162047084567092011-07-30T18:39:00.004+03:002011-07-30T18:49:28.875+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga yaalikwa Sudan</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Mabingwa wa soka Afrika Mashariki na Kati, Yanga itafanya ziara ya siku tano nchini Sudan ya Kaskazini tarehe 5 mwezi ujao ambapo inatarajiwa kucheza na vigogo wa soka wa nchi hiyo El Hilal and El Merreikh.<br /><br />Huku mchezo wa ngao ya hisani dhidi ya Simba ukikaribia, mechi hizo mbili zitakuwa ni majaribio mazuri kwa Yanga kwa ajili ya kuanza msimu mpya wa ligi. Afisa Habari wa Yanga Louis Sendeu alisema jana kwamba Yanga imealikwa huko Sudan na klabu ya El Hilal.<br /><br />El Hilal ambayo sasa inashiriki katika Ligi ya Mabingwa Afrika inanolewa na Kocha wa zamani wa Yanga, Milutin Srejdovic 'Micho'.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-58165974950141336882011-07-25T18:45:00.002+03:002011-07-25T18:48:10.085+03:00Ngao ya Hisani<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Ngao ya Hisani yapigwa tarehe</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Mechi ya Ngao ya Jamii (Community Shield) kufungua msimu wa Ligi Kuu ya Vodacom 2011/2012 kati ya Yanga na Simba iliyokuwa ichezwe Agosti 13 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, sasa itafanyika Agosti 17 mwaka huu kwenye uwanja huo huo.<br /> <br />Uamuzi huo umetokana na timu ya Taifa (Taifa Stars) kuwa na mechi ya kirafiki katika kalenda ya FIFA (FIFA dates) ugenini itakayochezwa Agosti 10 mwaka huu dhidi ya Palestina. Stars itarejea nchini Agosti 11 mwaka huu baada ya mechi hiyo.<br /> <br />Wachezaji wengi wanaounda kikosi cha Taifa Stars kwa sasa wanatoka katika klabu hizo mbili. Awali Stars ilikuwa icheze mechi nyingine Agosti 13 mwaka huu jijini Amaan wakati aikitokea Palestina. Kocha Mkuu wa Stars, Jan Poulsen ameifuta mechi hiyo kwa vile Jordan haitakuwa na wachezaji wake wa kulipwa kutokana na kuwa nje ya kalenda ya FIFA.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-76776754810380342122011-07-10T12:20:00.004+03:002011-07-10T12:32:09.894+03:00KAGAME CASTLE CUP<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Fainali ya kufa mtu</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Hatimaye fainali ya Kagame Castle cup ambayo ilikuwa ikisubiriwa na wengi inapigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar kati ya Yanga na Simba.<br /><br />Timu zote mbili zimeingia fainali baada ya kuvuka hatua ya nusu fainali kwa njia ya matuta. Simba iliitoa El Mereikh ya Sudan wakati Yanga iliitoa St. George ya Ethiopia.<br /><br />Timu hizo mbili zinaingia zikitaka kulinda rekodi zake katika michuano hiyo:<br /><br />YANGA: <br />Kocha Sam Timbe katika mechi zote tatu alizotinga fainali. Amefanya hivyo akiwa na SC Villa, Polisi za Uganda na Atraco ya Rwanda.<br /><br />SIMBA:<br />Haijapoteza fainali yeyote ya Kagame iliyopigwa katika ardhi ya Tanzania. Tayari imefanya hivyo mara sita.<br /><br />Mchezaji kwa uhakika atakosa mchezo wa leo kutokana na kadi ni Jerry Santo wa Simba ambaye ana kadi mbili za njano.<br /><br />Bingwa wa michuano hiyo atajinyakulia dola za Kimarekani 30,000 <br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com12tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-17798231259012052962011-07-08T18:57:00.004+03:002011-07-08T19:21:07.872+03:00KOMBE LA KAGAME<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga yatinga fainali</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga imetinga katika fainali ya kombe la Kagame baada ya kuichapa St. George ya Ethiopia kwa mikwaju ya penati 5-4.<br /><br />Timu hizo mbili zilishindwa kufungana katika dakika 90 na hata katika muda wa nyongeza wa dakika 30 bado mambo yalikuwa 0-0.<br /><br />Penati za Yanga leo zilipigwa na:<br />Shadrack Nsajigwa (alikosa)<br />Nadir Haroub<br />Juma Seif<br />Davies Mwape<br />Hamis Kiiza<br />Nurdin Bakari<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-63657851262732826752011-07-08T14:54:00.002+03:002011-07-08T14:55:35.476+03:00KOMBE LA KAGAME<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga vs St. George</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga muda mfupi ujao inaingia uwanjani kupambana na St. George ya Ethiopia katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la Kagame itakayopigwa katika Uwanja wa Taifa.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com22tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-15253889537033772152011-07-06T18:25:00.002+03:002011-07-06T18:29:27.490+03:00KOMBE LA KAGAME<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga yatinga nusu fainali</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Yanga ya Tanzania imefanikiwa kutinga katika hatua ya nusu fainali ya kombe la Kagame baada ya kuifunga Red Sea ya Eritrea kwa penati 6-5.<br /><br />Timu hizo mbili zilishindwa kufungana katika dakika 90 za mchezo hivyo kulazimika kutafuta mshindi kwa njia ya matuta.<br /><br />Penalti za Yanga zilipigwa na <br />Shadrack Nsajigwa<br />Rashid Gumbo<br />Kiggi Makassy (alikosa)<br />Kenneth Asamoah<br />Davies Mwape<br />Nadir Haroub<br />Nurdin Bakari<br /><br />Yanga sasa itakutana na St. George ya Ethiopia katika nusu fainali siku ya Ijumaa.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com6tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-36655747358293340602011-07-06T16:13:00.001+03:002011-07-06T16:15:23.436+03:00KOMBE LA KAGAME<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga vs Red Sea</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga muda mfupi ujao inaingia uwanjani kupambana na Red Sea ya Eritrea katika mchezo wa robo fainali ya kombe la Kagame.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com4tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-80344138169481754922011-06-30T18:22:00.003+03:002011-07-01T20:05:04.937+03:00KAGAME CUP 2011<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga yaichapa Elman 2-0</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga imeichapa Elman ya Smmalia kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kombe la Kagame 2011 uliomalizika hivi punde katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam.<br /><br />Mabao ya Yanga yalifungwa na Davis Mwape (dk. 27) na Hamisi Kiiza (dk.90)<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com7tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-91313798346880059992011-06-26T18:12:00.002+03:002011-06-26T18:22:23.257+03:00KAGAME CUP 2011<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga yaanza kwa sare</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga imeanza michuano ya Kagame 2011 kwa sare ya 2-2 dhidi ya timu ya El Merreikh ya Sudan.<br /><br />El Merreikh ilikuwa ya kwanza kupata bao katika dakika ya pili lakini Yanga ikarejesha bao hilo dakika nne baadaye baada ya El Merreikh kujifunga.<br /><br />Yanga iliongeza bao la pili kupitia kwa Kenneth Asamoah katika dakika ya 37 baada ya kuunganisha krosi ya beki wa kushoto Oscar Joshua.<br /><br />El Merreikh ilisawazisha bao hilo katikati ya kipindi cha pili na mabao hayo yalidumu hadi mwisho wa mchezo.<br /><br />Wachezaji walioiwakilisha Yanga leo: Berko, Taita, Oscar, Chacha, Nadir, Gumbo, Mrope, Nurdin, Mwape, Tegete/Asamoah, Kiggi.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-60003405470852156032011-06-22T07:11:00.002+03:002011-06-22T07:20:09.899+03:00KAGAME CUP 2011<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga katika kundi B</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga wamepangwa katika kundi B la michuano ya Kombe la Kagame itakayoanza kupigwa kuanzia mwishoni mwa wiki hii katika miji ya Dar es Salaam na Morogoro.<br /><br />Makundi kamili ya michuano hiyo ni kama ifuatavyo:<br /><br />Kundi A: <br />Simba(Tanzania) <br />Vital'O(Burundi) <br />Etincelles (Rwanda) <br />Ocean View (Zanzibar)<br /><br />Kundi B<br />Yanga (Tanzania)<br />El Merreikh (Sudan)<br />Bunamwaya(Uganda)<br />Elman FC (Somalia)<br /><br />Kundi C<br />APR(Rwanda)<br />Ulinzi (Kenya)<br />St. George (Ethiopia)<br />Port (Djibouti)<br /><br />Mechi za Kundi A na B zitachezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam wakati kundi C itapiga mechi zake huko Morogoro kwenye Uwanja wa Jamhuri.<br /><br />Ratiba kamili itafuata hivi punde.<br /></div>Unknownnoreply@blogger.com5tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-56597664412738586852011-06-21T07:24:00.001+03:002011-06-21T07:27:25.300+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga yatema nane</span><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga wametangaza kuwaacha nyota nane kwenye usajili wake msimu huu wakiwemo Athuman Idd, Waghana wawili pamoja na kipa wa Mserbia.<br /><br />Akizungumza jijini jana, Ofisa Habari wa Yanga, Luis Sendeu alisema kuwa uongozi wa klabu hiyo umefika hatua ya kuwaacha wachezaji hao katika usajili wake kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na baadhi yao kushuka kiwango na wengine kumaliza mikataba yao.<br /><br />Wachezaji waliotemwa na timu hiyo ni pamoja na Yahaya Tumbo, Nelson Kimath, Nsa Job, Razack Khalfan, Izack Boakye, Ernest Boakye, Athuman Idd na Ivan Knezevic.<br /><br />“Wachezaji hao ndio tuliowaacha katika usajili wetu wa mwaka huu, hii ni kutokana na baadhi yao kumaliza mikataba na wengine kushuka na uongozi kuamua kuvunja nao mkataba.<br /><br />“Wachezaji ambao uongozi umevunja nao mkataba na kuwalipa haki zao zote ni pamoja na Nsa Job, Nelson Kimath na Yahaya Tumbo wakati Ernest Boakye na Isack Boakye, Athumani Idd, Ivan Knezevic na Razack Khalfan wao mikataba yao imemalizaka na uongozi ukaona hakuna haja ya kuendelea kuwanao,” alisema Sendeu.<br /><br />Alisema pamoja na kutangaza kuwaacha wachezaji hao bado timu hiyo ipo katika harakati za kusaka saini na nyota wa zamani wa URA na timu ya Taifa ya Uganda, Hamis Kizza ambaye kwa sasa yupo jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo.<br /><br />Katika hatua nyingine, timu hiyo inaondoka leo kwenda mkoani Arusha kwa ajili ya mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia ya Kenya utakaofanyika mjini humo.<br /><br />Sendeu alisema kuwa katika mchezo huo wanatarajia kuwatumia wachezaji wote waliowasajili sasa pamoja na wale wa kimataifa.<br /><br />Source: MWANANCHI<br /></div>Unknownnoreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-16311804538472130052011-04-11T06:52:00.004+03:002011-04-11T07:11:08.942+03:00Ligi Kuu ya Vodacom 2010/11<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">YANGA BINGWA</span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgDRicJyY_SSmGwldR62kNlG2ifD1sWyWv-dqHpfj4_HJOzoGeCD1gyvYCmSY09RKzQtsPeNlvd7XQL7WeKlWPNRbF6QU7VKCNmUPRzaFic15XvRdsSgdcskYMNYllxj7YCrV79YA/s1600/yangakombe.jpg"><img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 300px; height: 258px;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgDRicJyY_SSmGwldR62kNlG2ifD1sWyWv-dqHpfj4_HJOzoGeCD1gyvYCmSY09RKzQtsPeNlvd7XQL7WeKlWPNRbF6QU7VKCNmUPRzaFic15XvRdsSgdcskYMNYllxj7YCrV79YA/s400/yangakombe.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5594173413596641986" /></a><br /><br /></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Yanga imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya kuizamisha Toto Africa kwa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.<br /><br />Mabingwa wa zamani Simba ambayo nao walikuwa wakicheza na Majimaji na kufanikiwa kushinda 4-1 lakini ushindi huo haukutosha kuipiku Yanga kwenye mbio za ubingwa.<br /><br />Yanga na Simba zote zimemaliza ligi hiyo zikiwa na pointi 49 huku Yanga ikiwa na tofauti ya magoli (Goal Difference) ya 22 wakati Simba ina 21.<br /><br />Mabao ya Yanga yalifungwa katika kipindi cha pili na Nurdin Bakari(mawili) na Davis Mwape.<br /><br />Inabaki kwamba Yanga ni mabingwa wa ligi ya Vodacom 2010/11.<br /></div>Unknownnoreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-37780480060751904662011-04-07T18:43:00.004+03:002011-04-07T21:07:36.353+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga 3 African Lyon 1</span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Hatimaye Yanga leo imeifikia timu ya Simba kwa pointi baada ya ushindi wa 3-1 dhidi ya African Lyon katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom uliomalizika hivi punde.<br /><br />Ushindi huo unaifanya Yanga kujikusanyia pointi 46 sawa na Simba huku Yanga ikiwa na tofauti ya magoli (Goal Difference) ya 22 wakati Simba ina 21.<br /><br />Kwa hali hii, michezo ya mwisho ya ligi kwa timu hizi mbili itakuwa ya umuhimu mkubwa kwani ndizo zitakazoamua bingwa wa ligi hiyo. Yanga itakwaana na Toto Africa Jijini Mwanza wakati Simba itaikaribisha Majimaji Jijini Dar.<br /><br />Magoli katika mchezo wa leo yalifungwa na Iddi Mbaga aliyefunga mabao mawili pamoja na Davis Mwape. Goli la kufutia machozi la Lyon lilifungwa na beki wa Yanga Chacha Marwa katika harakati za kuokoa.<br /><br />Tusubiri Jumapili kama ubingwa utatua Jangwani au Msimbazi.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com7tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-15715394110490907522011-03-30T18:38:00.002+03:002011-03-30T18:44:39.279+03:00Ligi Kuu ya Vodacom<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga 2 Azam FC 1</span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Mbio za kuelekea katika ubingwa wa ligi kuu ya soka ya Vodacom imezidi kunoga baada ya Yanga kuichapa Azam FC 2-1.<br /><br />Ushindi huo unaifanya Yanga kujikusanyia pointi 43 ikiwa ni pointi 2 tu nyuma ya Simba yenye pointi 45. Timu zote zimebakiza michezo miwili.<br /><br />Katika mchezo wa leo uliopigwa kwenye uwanja wa Uhuru, Azam ndiyo iliyokuwa ya kwanza kupata bao katika dakika ya 4 kupitia kwa John Boko.<br /><br />Yanga ilisawazisha katika dakika ya 42 na kuongeza bao jingine katika dakika ya 68 yote yakiwa yamefungwa na Jerry Tegete.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com4tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-50306020957688069852011-03-12T18:26:00.003+03:002011-03-12T18:29:16.796+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga 0 JKT Ruvu 0</span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Yanga leo jioni imelazimishwa sare ya 0-0 katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom iliyopigiwa kwenye uwanja wa Uhuru.<br /><br />Simba ilikuwa inaongoza 2-0 dhidi ya AFC huko kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. <br /><br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com4tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-34222439078055367412011-03-04T17:58:00.006+03:002011-03-04T18:38:24.157+03:00Yanga vs Simba<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Chinja hao!!!!!!! </span></div><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguqVVTJHb_SeBO0YPYVUEWHA2M4UdxqJawseENeTTG375gdavtauoxVT32RURImK0B_OVEdE1YYtaZ2MRwdJeay6CQIzGqjacBfUPrwGo5PVsiJkiTGkbHF_dbSWQZv_F7SsLfdw/s1600/untitled.bmp"><img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 400px; height: 315px;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEguqVVTJHb_SeBO0YPYVUEWHA2M4UdxqJawseENeTTG375gdavtauoxVT32RURImK0B_OVEdE1YYtaZ2MRwdJeay6CQIzGqjacBfUPrwGo5PVsiJkiTGkbHF_dbSWQZv_F7SsLfdw/s400/untitled.bmp" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5580239846047272050" /></a><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Hatimaye mpambano unaosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini, Yanga na Simba zinatarajiwa kupambana vikali kwenye uwanja wa Taifa katika mchezo wa duru la pili la ligi kuu ya Vodacom.<br /><br />Timu zote mbili zilikuwa zimeikimbia Dar es Salaam, Yanga ikiweka kambi huko Bagamoyo wakati Simba ikivuka maji hadi huko Zanzibar.<br /><br />Hili litakuwa pambano la kwanza la watani wa jadi kwa kocha Sam Timbe ambaye alianza kuinoa Yanga mwanzoni mwa mwezi uliopita. Silaha kubwa zinazotegemewa na Yanga ni mshambuliaji kutoka Zambia Davies Mwape ambaye alisajiliwa katika dirisha dogo la usajili na ameonyesha uwezo mkubwa katika kupachika mabao. Pia Yanga inajivunia ngome yake ambayo imefungwa mabao manne tu tangu ligi hiyo ilipoanza.<br /><br />Timbe amekuwa akimchezesha zaidi beki Chacha Marwa na Nadir Haroub tofauti na kocha aliyepita Kostadin Papic ambaye alikuwa akimpa nafasi Issac Boakye kutoka Ghana ambaye tangu alipovurunda katika mechi dhidi ya Dedebit ya Ethiopia, benchi limekuwa likimwandama.<br /><br />Kwa upande wa Simba nayo pia inajivunia mshambuliaji wake hatari Mbwana Samatta ambaye tangu alipomaliza mgomo wake wa kujiunga na Simba, ameipa uhai mkubwa safu ya ushambuliaji ya timu hiyo. Halikadhalika Mganda Patrick Ochan anaonekana 'kufufuka' katika mzunguko wa pili wa ligi.<br /><br />Katika ulinzi Simba imepata pigo baada ya beki wake Joseph Owino kuumia hivyo nafasi yake huenda ikazibwa na Kelvin Yondani akishirikiana na Juma Nyoso. Katika lango huenda kipa Ally Mustafa 'Barthez' akakaa golini kufuatia kiwango cha Juma Kaseja kushuka katika michezo ya hivi karibuni.<br /><br />Shughuli nyingine katika pambano hilo inatarajiwa kuwa katika kiungo ambapo Yanga ina wachezaji mahiri kama Godfrey Bonny, Nurdin Bakari, Chuji na Omega Seme huku Simba ikiwategemea zaidi Mohamed Banka, Amri Kiemba na Jerry Santo.<br /><br />Katika pambano la mzunguko wa ligi hiyo, Yanga iliilaza Simba 1-0 huko Mwanza kwa bao liliofungwa na Jerry Tegete.<br /><br />Tusubiri dakika 90 za mwamuzi Oden Mbaga.</div>Unknownnoreply@blogger.com8tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-14848736136354119742011-02-28T08:42:00.001+03:002011-02-28T08:45:37.678+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga kurejea kileleni leo?</span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Yanga ikiwa chini ya Sam Timbe leo ina nafasi nyingine ya kurejea kileleni mwa Ligi Kuu endapo itaishinda Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.<br /><br />Timbe ana kibarua cha kuhakikisha timu yake inarudi kileleni itakapovaa wanajeshi hao huku wakifahamu kuwa ushindi utawarejesha kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo.<br /><br />Yanga yenye pointi 35 sawa na Azam ina mchezo mmoja pungufu ya vijana hao wa lambalamba ambao wamekuwa wakiongoza hadi jana kabla ya mechi baina ya Simba na Mtibwa Sugar ambayo Simba iliibuka mshindi kwa mabao 4-1.<br /><br />Hata hivyo, Yanga leo itacheza mchezo huo huku ikiwa inahitaji ushindi wowote ili kukaa tena kileleni, lakini mchezo huo unatarajiwa kuwa mgumu kwa pande zote mbili kutokana na kuwa viwango tofauti.<br /><br />Ruvu Shooting ina pointi 15 baada ya kucheza michezo 16 ikiwa katika nafasi ya tisa inatafuta pointi tatu ili kujiepusha na hatari ya ya kushuka daraja wakati Yanga inataka kushinda mechi hiyo ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa msimu huu.<br /><br />Katika mchezo huo, Yanga inaweza kutomtumia kipa wake tegemeo, Yaw Berko kutokana na kuwa na kadi mbili za njano, hali ambayo imekuwa ikimtia wasiwasi kochaTimbe.<br /><br />Kama Timbe atamchezesha Berko na pengine kupata kadi nyingine , basi kipa huyo ataukosa mchezo mwingine dhidi ya watani wao wa jadi ,Simba Jumapili.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com8tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-29911838681643786842011-02-17T07:13:00.001+03:002011-02-17T07:13:45.107+03:00Ligi Kuu ya Vodacom<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Mtihani wa Kagera Sugar leo</span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">BAADA ya kutolewa kwenye michuano ya kimataifa mwishoni mwa wiki iliyopita, Yanga leo itakuwa kwenye Uwanja wa Kaitaba Bukoba kumenyana na Kagera Sugar ya huko katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu. <br /><br />Mechi ya leo ni wakati mzuri kwa Yanga kurudisha umoja katika klabu yao ambayo imekuwa na migogoro kwa tarkiban miezi miwili sasa. <br /><br />Yanga ikishinda leo itakuwa na uwezo wa kurejea kileleni mwa Ligi Kuu kwani itakuwa na pointi 35 na Simba inayoongoza sasa ina pointi 34.<br /><br /> Timu hizo leo zinaingia uwanjani zikiwa na historia tofauti ya mechi zake zilizopita. Kagera Sugar inaingia ikiwa inajivunia ushindi wa bao 1-0 ilioupata kwa Mtibwa Sugar, lakini Yanga inaingia uwanjani ikiwa imetoka sare ya bila kufungana na Majimaji ya Songea. <br /><br />Hata hivyo, hilo linaweza lisiizuie Yanga kushinda kwani katika mechi ya mzunguko wa kwanza iliichapa Kagera mabao 2-0.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com6tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-74909928715801611852011-02-15T11:45:00.002+03:002011-02-15T11:54:18.921+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Manji ang'oka? </span></div><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaitDOwWht-qYlkrkh9mOPf3I3V1s0lSHRhRVnqgUwu8xWAnr1sy4Ki_oAShwvRFTUmEsNdooCHmV8EIgOLjT3p_e2oOdZQD9_siqcpdzOCttUkwJ1FBV6lbFMDQYD_sjoMeWihA/s1600/image_Manji2.jpg"><img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;width: 170px; height: 168px;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiaitDOwWht-qYlkrkh9mOPf3I3V1s0lSHRhRVnqgUwu8xWAnr1sy4Ki_oAShwvRFTUmEsNdooCHmV8EIgOLjT3p_e2oOdZQD9_siqcpdzOCttUkwJ1FBV6lbFMDQYD_sjoMeWihA/s320/image_Manji2.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5573835119968183538" /></a><br /><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">MDHAMINI wa Yanga, ambaye pia ni mfadhili wa klabu hiyo, Yusuph Manji amedaiwa <br />kujiondoa katika klabu hiyo. <br /><br />Habari za uhakika kutoka ndani ya Yanga zilizopatikana Dar es Salaam zimedai Manji ameamua kujiondoa ili kupumzisha afya yake baada ya kuchoshwa na kelele za baadhi ya wanachama wa klabu hiyo na pia ubadhirifu wa fedha za klabu kwa baadhi ya viongozi. <br /><br />Kwa takriban mwezi sasa kumekuwa na mgogoro ndani ya Yanga ukihusisha baadhi ya viongozi na wanachama na wakati mwingine baadhi ya viongozi kwa viongozi. <br /><br />Wiki iliyopita baadhi ya wanachama wa tawi la Yanga Tandale Kwa Mtogole walimtaka mfadhili huyo aondoke Yanga kwa madai anaivuruga klabu yao. <br /><br />Kwa mujibu wa chanzo hicho, kilichomfanya mdhamini huyo kujiondoa Yanga ni namna klabu hiyo isivyoendeshwa kwa mpangilio na kwamba fedha nyingi zinatoka lakini hazionekani <br />zinatumika vipi. <br /><br />“Yanga kuna ubadhirifu unafanyika ndio maana Manji amekuwa akipiga kelele kila siku ufanyike ukaguzi ili wanachama wanaosema anaivuruga klabu waone nani ni mvurugaji,”kilisema chanzo hicho. <br /><br />Source:HABARI LEO<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com8tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-36629277993066132802011-02-05T14:02:00.000+03:002011-02-05T14:04:38.185+03:00Ligi Kuu ya Vodacom<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Majimaji vs Yanga leo </span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">BAADA ya kuadhibiwa na Mtibwa kwa bao 1-0, Yanga leo inatakuwa ugenini mjini Songea kuikabili Majimaji katika mpambano utakaofanyika kwenye Uwanja wa Majimaji.<br /><br />Kikosi cha Yanga ambacho kiliondoka jijini Dar es Salaam juzi mchana kikiwa na wachezaji 20, tayari kimewasili mjini hapa. Awali walishindwa kufika hapa kwa wakati baada ya basi wanalolitumia kusafiria kuharibika maeneo ya Chalinze mkoani Pwani.<br /><br />Yanga ambayo bado inashikilia usukani wa ligi hiyo kwa pointi moja, 31 huku Simba ikiwa na pointi 30, itabidi ifanye kazi ya ziada kuchukua pointi tatu mbele ya Majimaji yenye pointi 10 ambayo itapigana kutaka kujinasua kutoka mkiani inakoshikilia nafasi ya 11 kati ya timu 12.<br /><br />Ugumu mwingine wa mpambano wa leo unatokana na sababu za kihistoria ambazo zinatueleza kuwa vijana hao kutoka Mitaa ya Jangwani na Twiga jijini Dar es Salaam mara nyingi wamekuwa wakiambulia matokeo mabaya wanapocheza katika dimba hilo la nyumbani la Majimaji.<br /><br />Kocha wa Yanga, Fred Felix Minziro alisema juzi kabla ya kuondoka kuwa amewaambia wachezaji wake wajiepusha na kufikia matokeo yaliyopita bali wajipange kuhakikisha wanashinda mechi ya leo na nyingine zinazofuata.<br /><br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com6tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-78471034560638545012011-02-05T14:00:00.001+03:002011-02-05T14:02:06.631+03:00<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Sam TImbe kocha mpya Yanga</span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">HATIMAYE klabu ya Yanga, imemtambulisha kocha mpya, Sam Timbe kuziba nafasi ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Kosta Papic aliyetimkia kwao baada ya migogoro ya hapa na pale ndani ya klabu hiyo.<br /><br />Kocha huyo alitambulishwa jana kwa waandishi wa habari ofisini kwa mfadhili mkuu wa timu hiyo, Yusuf Manji jengo la Quality Plaza, Barabara ya Nyerere. Hata hivyo, alisema kuwa hajamalizana na Yanga kuinoa timu hiyo.<br /><br />"Najua kuna mpasuko Yanga, viongozi hawaelewani, naomba tuwe marafiki tushirikiane, viongozi, wachezaji na mashabiki kwa ajili ya maendeleo ya Yanga, bila hivyo timu haiwezi kufanya vizuri," alisema Timbe.<br /><br />Sam Timbe aliyeziongoza SC Villa na Polisi na kutwaa ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati michuano iliyofanyika Tanzania mara zote, ataanza kuinoa timu hiyo kwa majaribio kabla ya kupewa mkataba wake.<br /><br />Timbe alisema bado hawajamaliza na uongozi wa Yanga kuhusu mkataba wake na ameondoka jana kurudi Uganda na anatarajia kurejea nchini Jumapili na kuongoza jahazi la timu hiyo.<br /><br />Kocha huyo wa Atraco alikuwa na ndoto kubwa za kunoa timu za Tanzania hususani Simba na Yanga na alidai kuwa bado anafanya mazungumzo na anatarajia yataenda vizuri, na iwapo watafanikiwa kusaini mkataba habari za ndani zinadai kuwa atasaini wa mwaka mmoja.</div>Unknownnoreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-38875099.post-23160706175443044652011-01-29T18:13:00.002+03:002011-01-29T18:18:02.725+03:00Kombe la Shirikisho Afrika<div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;">Yanga 4 Dedebit 4 </span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);"></div><div style="text-align: center; color: rgb(51, 255, 51);"><span style="font-size:180%;"></span></div><div style="text-align: justify; color: rgb(255, 255, 0);">Yanga leo imeanza kampeni yake ya jkuwania Kombe la Shirikisho Afrika kwa kusuasua baada ya kulazimishwa sare ya 4-4 kwenye Uwanja wa taifa Dar es Salaam.<br /><br />Yanga ilikuwa ya kwanza kupat bao kupitia kwa Nadir Haroub lakini Wahabeshi hao walisawazisha na kuongeza mabao mengine mawili kabla ya Nurdin kuifungia Yanga bao la pili dakika chache kable ya mapumziko.<br /><br />Katika kipindi cha pili Dedebit iliongeza bao la nne na wakati mashabiki wakiondoka uwanjani katika dakika za lala salama Godfrey Bonny aliisawazishia Yanga bao la nne.<br /><br /></div>Unknownnoreply@blogger.com8