Mtibwa Sugar yafungua njia kwa Yanga
Mtibwa Sugar jana imeifungulia njia Yanga katika michuano ya Tusker baada ya kuichapa SC Villa ya Uganda 2-1 katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Yanga sasa inahitaji sare katika mchezo wake dhidi ya Mtibwa Sugar siku ya Jumapili ili iingie katika hatua ya nusu fainali.
Yanga sasa inahitaji sare katika mchezo wake dhidi ya Mtibwa Sugar siku ya Jumapili ili iingie katika hatua ya nusu fainali.
No comments:
Post a Comment