Saturday, July 19, 2008

Kagame Cup
KUNDI C
Yanga vs Miembeni 1-0
(Kiggi Makassy 23')
KUNDI B
Rayon vs Awassa City 2-0


11 comments:

Anonymous said...

Walete walete

Anonymous said...

Ni dk 18 tangu mpira umeanza wadau kwanza tupeni roster ya leo y apande zote mbili

Anonymous said...

Waungwana samahani nimekosea unaanza baada ya gk 40 kutoka sasd

Anonymous said...

Tunaongoza bao 1 lililofungwa kwa penati na Kiggi Makasy

Anonymous said...

jamaa vipi matokeo? m sakran kuwait

Anonymous said...

Tushatolewa jamaa mbona kimya?

Anonymous said...

ha ha ha usiwe na hofu hatuwezi fungwa na watoto wa watumwa legelege

Anonymous said...

Mpira umekwisha kwa 1-0

Anonymous said...

Sasa tunawasubiri wazanzibar fainali waambie wakakaze kamba chupi zao

Anonymous said...

LETENI MATOKEO BASI

Anonymous said...

Mpira umekwisha kwa 1-0 nani aliyeshinda, ebu fafanua kidogo mheshimiwa hapo juu