Sunday, July 20, 2008

KAGAME CUP
ROBO FAINALI
22 Julai 2008 (*1345): URA vs Miembeni
22 Julai 2008 (*1600hrs):Simba vs APR
23 Julai 2008 (*1345hrs): Rayon vs Tusker
23 Julai 2008 (*1600hrs): Yanga vs Vital'O
*please note the changes

7 comments:

Anonymous said...

mbona timu zetu zimepangwa michezo ya saa nane ?nauliza tuu.

Anonymous said...

Vital'O OYEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Hiyo tarehe ya Rayon - ni 23/7 au 22/07

CM said...

Nashukuru kwa umakini wako anon hapo juu.

Ni kweli game ya Rayon vs Tusker itapigwa tarehe 23/07/2008 na si 22/07/2008 kama nilivyokuwa nimeandika hapo awali.

Anonymous said...

inaonekana timu zote kundi C zimefuzu eti?

nahisi sababu ni kutafuta timu 2 za ziada, maana zingekuwa 6 tu robo fainali au vipi cm?

kwa hiyo wakatafuta washindi wawili bora waliopata nafasi ya 3 kutoka makundi yote!

naomba ufafanuzi kwa aliye na habari za uhakika.

-mpenzi wa Yanga; Berks, UK.

Anonymous said...

Ni kweli kundi la Yanga zimefuzu zote kwa sababu ilitakiwa timu moja ili ziwe nane kwani zingekuwa saba. Kwa hiyo kundi B na C walipewa nafasi ya best looser. Kwa hiyo APR ndio walipata nafasi ya best looser na Awasa wakawa wametoka. Kumbe APR ameingia kama best looser toka kundi lake.

Anonymous said...

masebe... APR = best looser? au tuseme ni worst looser!