Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Monday, November 16, 2009
Yanga vs Prisons leo
Yanga leo inajitupa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar kupambana na timu ya Prisons ya Mbeya kwenye mchezo wa mwisho wa duru la kwanza la ligi kuu ya Vodacom.
3 comments:
Matokeo vipi?
vipi tumekufa tena?
tumeshinda 4-2
Post a Comment