Wednesday, February 17, 2010

Jama Mba arejea
Mshambuliaji wa Yanga, Mcameroon Robert Jama Mba, aliyekuwa nchini kwao kwa zaidi ya miezi miwili amewasili Dar es Salaam jana tayari kuichezea timu hiyo.
Mba ambaye hata hivyo hajasajiliwa kwa ajili ya michuano ya CAF, ameuambia uongozi kwamba kuchelewa kwake kunatokana na matatizo ya kifamilia.

No comments: