Shughuli kuendelea leo
Ligi Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuendelea leo katika viwanja mbali mbali. Michezo itakayopigwa leo ni:
Yanga vs JKT
Kagera Sugar vs Simba
Mtibwa vs Majimaji
Toto vs Manyema
Kagera Sugar vs Simba
Mtibwa vs Majimaji
Toto vs Manyema
lazima tuwapigishe kwata
ReplyDeletelazima tuwapigishe kwata
ReplyDeletesekunde ya 45
ReplyDeleteYanga 1 JKT 0 - Mrisho Ngassa
Half time
ReplyDeleteYanga 1 JKT 0
Huko Kagera mambo bado 0-0 - halftime
ReplyDeletehuko Bukoba: Simba 1 Kagera 0
ReplyDeleteHuko Bukoba 1-1 mpira unaendelea
ReplyDeletenaona hao wana msimbazi ni mwaka wao..tukubali mnyama bingwa mwaka huu...
ReplyDeleteasante CM n
wewe unaesema mwaka wao ni mnyama tena tusikusikie tena humu ndani nyama we!!!!! °çé*°§§§°° U mijitu mingine bwana
ReplyDeleteFULL TIME:
ReplyDeleteKAGERA SUGAR 1 SIMBA 1
Kwa msimu wa tatu mfululizo Kagera Sugar imefanikiwa kuharibu rekodi ya timu ambazo zilikuwa zimeshinda mechi zote.
2007/08 - Prisons
2008/09 - Yanga
2009/10 - Simba
Yanga vipi?
ReplyDeletecm toa rada
ReplyDeleterada ya nini si yanga kashinda 1-0
ReplyDeleteAminia CM. Nakuaminia kaka. SGM-USA . Nadhani umenielewa.
ReplyDeletenimekupata SGM
ReplyDelete