Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Thursday, February 18, 2010
Yanga vs Kagera Sugar
Baada ya kuwakilisha taifa mwishoni ya mwa wiki, Yanga leo inaumana na Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom itakayopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru.
kwa kweli timu haikucheza vizur hasa sehemu ya kiungo. Abdi Kassim anatuangasha sana. kwa kweli inabidi abadilike. maana ashirikiani na wenzake katika kukaba. na hata pasi hatoi za uhakika. ila kwa ujumla Mnyama akae chonjo.
sema kaka cm macho yte ktk msg zako wanasemaje wakata miwa?
ReplyDeleteHalftime bado ni 0-0
ReplyDeletenaona wakongo wametupoozesha hamna matokeo mpaka hivi sasa
ReplyDeleteusijali mvua ipo ya magoli
ReplyDeletehumu hata wakiingia simba na kusema wayatakayo sababu ni kuwa wahusika wanakaa kimya !!!!!
ReplyDeletefull time
ReplyDeleteYanga 2 Kagera 1
wafungaji
ReplyDeleteNgassa dk 57 na Chuji dk 90
ReplyDeleteNsajigwa - red card
shukurani, jamani vipi hiyo website bado tu?
ReplyDeletejamani vipi myama kajikwaaa? maana mpaka sasahivi naendelea kutia ubani wa dua mbaya
ReplyDeleteSimba 4 Moro 1 sijui kama huko ndio kujikwaa.
ReplyDeletehakuna wakumzui mnyama mwaka huu.tujipange mwakani maanake lupopo watatufunga jumamosi
ReplyDeletekwa kweli timu haikucheza vizur hasa sehemu ya kiungo. Abdi Kassim anatuangasha sana. kwa kweli inabidi abadilike. maana ashirikiani na wenzake katika kukaba. na hata pasi hatoi za uhakika. ila kwa ujumla Mnyama akae chonjo.
ReplyDelete