Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Saturday, May 26, 2007
Uchaguzi Yanga waahirishwa
Uchaguzi mkuu wa Yanga uliokuwa ufanyike leo kwenye Ukumbi wa Karimjee, umeahirishwa mpaka tarehe 30 mwezi huu baada ya kujitokeza dosari katika idadi ya wanachama.
No comments:
Post a Comment