Monday, January 21, 2008

Duru la pili Vodacom Premier League

Duru la pili la ligi kuu ya Vodacom linatarajiwa kuanza Jumamosi ijayo tarehe 26.01.2008. Ifuatayo ni michezo ya Yanga kwa duru la pili.

26 Januari 2008
Ashanti United (Dar)

01.02.2008
Coastal Union (Dar)

08.02.2008
Polisi Dodoma (Dar)

11.02.2008

Polisi Moro (Dar)

21.02.2008
Kagera Sugar (Kagera)


24.02.2008

Toto Africans (Mwanza)


28.02.2008

Mtibwa Sugar (Dar)

08.03.2008

Moro United (Moro)


15.03.2008

Pan Africans (Dar)

16.04.2008
JKT Ruvu (Dar)


19.04.2008

Prisons (Dar)


23.04.2008
Manyema (Dar)

27.04.2008
Simba (Dar)

9 comments:

Anonymous said...

Kwa maandalizi ya timu kwa sasa, sioni sababu ya kutopata ubingwa by 23.04.2008

Wadau mnaonaje?

Anonymous said...

Nadhani timu yetu ni nzuri na kwa maandalizi haya tunapaswa kuwa mabingwa. Hawa makocha wetu wanachonga sana, hasa huyo Kondic. Uchongaji huu unafanya wachezaji wasiwe na motisha hivyo wamwambie aache longolongo afundishe timu.

Viongozi komaeni msikubali kupelekeshwa na kocha.

Baba Kelvin Temboni.

Anonymous said...

Tunaongoza 1-0 mfungaji Abuu Ramadhan

Anonymous said...

Ni 1-1 sasa

Anonymous said...

Mpira sasa ni mapumziko, bado 1-1.

Anonymous said...

Vipi mpira umeishaje? Na kiwango je? Timu inacheza ki-timu?

Anonymous said...

Mpira umekwisha. Yanga imeshinda 2-1. Bao la pili lilifungwa na Jerry Tegete. Mpira wa leo ulikuwa mgumu, timu haikucheza vizuri japokuwa tumeshinda.

Anonymous said...

Tumeshinda kibahati.Kusema timu haikucheza vizuri ni kuficha ukweli.Timu imecheza ovyo sana heri hata mzunguko wa kwanza.Tuna kazi kubwa sana huko mbele.Ili tufanye marekebisho lazima tudiriki kusema kweli.

Anonymous said...

Vizuri kwamba tumeshinda. Mechi za kwanza always huwa ni ngumu. Wacha tuone mechi mbili zijazo ndo tuone kama ni ubovu wa wachezaji ama benchi la ufundi.

Bado naamini timu ni nzuri na itafanya vizuri mechi zijazo.

Kuna kukamiana na kujuana kwa hizi tmu za dar, na hivyo kubadilisha psychology ya mchezo.