Yanga na Manyema leo
Baada ya kutolewa katika michuano ya Kimataifa mwishoni mwa wiki, Yanga leo inarudi katika mawindo yake ya kuwania ubingwa wa Ligi kuu ya Vodacom wakati itakapopambana na Manyema FC kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar.
Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
7 comments:
mpira ni mapumziko na tunaongoza 1-0.
dakika ya 47, Hamisi Yusuf anaipatia Yanga bao la pili.
ahsante tunaomba yanga ishinde mechi zote matokeo ya al akhdar yasipoteze baadhi ya mechi m sakran kuwait
dk 55, Manyema wamepata bao la kwanza. Mvua imeanza kunyesha uwanjani.
Ni 2-1 sasa.
dk 58 Abdi Kassim anaachia mkwaju na kuipitia Yanga bao la 3.
ni 3-1
waongeze presha tunataka zaidi ili vijana wasahau mechi iliopita m sakran
Mpira umevunjika kufuatia mvua iliyonyesha
Post a Comment