Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Tuesday, July 22, 2008
KAGAME CUP
Mechi za leo (22 Julai 2008)
ROBO FAINALI URA vs Miembeni ... 2-0
Simba vs APR .....2-0 (Obina 81', Mgosi 88')
6 comments:
Anonymous
said...
CM kwa mujibu wa Msemaji wa TFF Kaijage washindi wa leo yaani Simba na URA watakutana alhamisi na washindi wa kesho watakutana kwenye semifainali ya pili Ijunaa.Je kuna ukweli wowote wa habari zake hizi???
Mimi pia nimesoma kwenye habarileo.Kaijage pia amesema mechi za robo fainali zikiisha kwa sare itamumika sheria ya penalti tao tano.Dakika 30 zitaanza kuongezwa kuanzia nusu fainali kwa mujibu wa Kaijjage.
WATANI WAO NI KUCHEZA NA MAGAZETI NDO ZAO ,UWANJANI WEUPE TUNAWASUBILI TUWAPE DOZI YAO ,MNYAMA NI CHUO CHA MAFUNZO AKITOKA MTU KINAKUJA KIFAA ,MGONGO WAZI KAENI KAMKAO CHENU CHA KUCHINJWA MNYAMA ANAKUJA NA SPEED 120
6 comments:
CM kwa mujibu wa Msemaji wa TFF Kaijage washindi wa leo yaani Simba na URA watakutana alhamisi na washindi wa kesho watakutana kwenye semifainali ya pili Ijunaa.Je kuna ukweli wowote wa habari zake hizi???
Mimi pia nimesoma kwenye habarileo.Kaijage pia amesema mechi za robo fainali zikiisha kwa sare itamumika sheria ya penalti tao tano.Dakika 30 zitaanza kuongezwa kuanzia nusu fainali kwa mujibu wa Kaijjage.
aah Simba ni noma babu yaani hii ndoo mwaka huu ya kwetu hafu tunampiga na yanga fainali kunogesha ubingwa
WATANI WAO NI KUCHEZA NA MAGAZETI NDO ZAO ,UWANJANI WEUPE TUNAWASUBILI TUWAPE DOZI YAO ,MNYAMA NI CHUO CHA MAFUNZO AKITOKA MTU KINAKUJA KIFAA ,MGONGO WAZI KAENI KAMKAO CHENU CHA KUCHINJWA MNYAMA ANAKUJA NA SPEED 120
wapuuzi watupu
kweli mnyama hana akili,sisi wote tunajua hilo.
Post a Comment