Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Saturday, July 26, 2008
KAGAME CUP
3rd/4th Winner Playoff
1345hrs; Simba vs Yanga
FINAL
1600hrs: URA vs Tusker
9 comments:
Anonymous
said...
Mpira wa Tanzania hautakuwa ni mpaka hapo imani potofu zitakapopotea, yaani hufanyi mazoezi wachezaji hawana stamina unataka ushindi? Nakumbuka hata mshindano yalipokuwa yanaanza Kodic alisema wazi hategemei maajabu kwa sababu ndo wameanza mazoezi timu ni changa wachezaji hawajaelewana kimchezo. Hii ilikuwa pure scientic comments, wameingia mashindanoni baada ya mazoezi ya wiki moja hivi kweli unategema ufanye nioni hata kama umesajili akina Ronadhilno Gaucha na Kaka, sijui kama viongozi wa Yanga walikuwa wanalitaka hili kombe au nguvu zao wameweka kwe champion leadue?
Kesho lazima mnyama amfanye vibaya kandambili. Tunajua matokeo hayatabandikwa kwenye blogi hii maana chizi mwenye nayo ni mnazi wa njano/kibichi na mbumbumbu wa kuendesha blogi.
Jamani soka si ni mchezo wa burudani na amani? Matusi na maneno makali yote ya nini?
Mwenye blog alijitambulisha kuwa ni mpenzi wa Yanga, na wala hajazuia wapenzi wa timu zingine kuja hapa. Sasa kama mtu hapendi anayoona au kusikia hapa, kwani amelazimishwa ku-comment hapa? Si aanzishe naye blog yake yenye mambo anayopenda tuu?
Kuweni wastaarabu, tutaniane ktk mambo ya soka, lakini matusi si uungwana.
TUPE MAMBO YANAVYO KWENDA HAPO UWANJANI.VILEVILE WADAU MSISAHAU MJADALA WA KUCHANGIA TIMU KWA AJILI YA UKARABATI WA UWANJA WA KAUNDA BAADA YA MECHI HIZO KWISHA HII LEO.
9 comments:
Mpira wa Tanzania hautakuwa ni mpaka hapo imani potofu zitakapopotea, yaani hufanyi mazoezi wachezaji hawana stamina unataka ushindi? Nakumbuka hata mshindano yalipokuwa yanaanza Kodic alisema wazi hategemei maajabu kwa sababu ndo wameanza mazoezi timu ni changa wachezaji hawajaelewana kimchezo. Hii ilikuwa pure scientic comments, wameingia mashindanoni baada ya mazoezi ya wiki moja hivi kweli unategema ufanye nioni hata kama umesajili akina Ronadhilno Gaucha na Kaka, sijui kama viongozi wa Yanga walikuwa wanalitaka hili kombe au nguvu zao wameweka kwe champion leadue?
Kichekesho kila timu inajificha yaani utafikiri wendawazimu, ohh I love Bongoland
We muhuni unayemiliki haka kamtandao, kesho ukitundikwa na mnyama pia usiweke matokeo. Sema tu ni matatizo ya kiufundi. Huna maana kabisa pimbi we!
Kesho lazima mnyama amfanye vibaya kandambili. Tunajua matokeo hayatabandikwa kwenye blogi hii maana chizi mwenye nayo ni mnazi wa njano/kibichi na mbumbumbu wa kuendesha blogi.
Sasa kama yeye ni mbumbu nyinyi ni akina nai? sitashangaa kama si wasenge kutoka Zanzibar maana huko ndo uhanithi wote uko
Si fungueni ya kwenu kwani kawakataza? msenge ni msenge tu
Jamani soka si ni mchezo wa burudani na amani? Matusi na maneno makali yote ya nini?
Mwenye blog alijitambulisha kuwa ni mpenzi wa Yanga, na wala hajazuia wapenzi wa timu zingine kuja hapa. Sasa kama mtu hapendi anayoona au kusikia hapa, kwani amelazimishwa ku-comment hapa? Si aanzishe naye blog yake yenye mambo anayopenda tuu?
Kuweni wastaarabu, tutaniane ktk mambo ya soka, lakini matusi si uungwana.
TUPE MAMBO YANAVYO KWENDA HAPO UWANJANI.VILEVILE WADAU MSISAHAU MJADALA WA KUCHANGIA TIMU KWA AJILI YA UKARABATI WA UWANJA WA KAUNDA BAADA YA MECHI HIZO KWISHA HII LEO.
imekuwaje tena Taifa nasikia vijana wameingia mitini why? kwanini?
Post a Comment