Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Taifa Stars vs Sudan
3-1 Full time
Mabao ya Stars yamefungwa na Jerry Tegete, Athumani Iddi na Kiggi Makassy.
uzi huo huo baada ya wiki mbili mungu ibariki stars
Kila la heri Stars!!!
Tusisahau kumshukuru Ambani kwa kuchukua muda wake mwingi mazoezini kuwafundisha Jerry na Kiggi jinsi ya kufunga magoli. YANGA OYEE..
Wow, hongera Taifa STars ..
Vipi jamani mna kuna mtu ana habari yeyote kuhusu Manji? maana uvumi unatisha ingawaje binafsi najua ni majungu ya watani wetu, afikishwe yeye mahakamani aachwe Lowasa, Apson, na Mkapa?
MAGOLI YOTE NI YANGA IDDI, MAKASI, TEGETE
Al Ahly wanakuja tutaona tambo zenu na timu ya milioni 500.
Post a Comment
8 comments:
Mabao ya Stars yamefungwa na Jerry Tegete, Athumani Iddi na Kiggi Makassy.
uzi huo huo baada ya wiki mbili mungu ibariki stars
Kila la heri Stars!!!
Tusisahau kumshukuru Ambani kwa kuchukua muda wake mwingi mazoezini kuwafundisha Jerry na Kiggi jinsi ya kufunga magoli. YANGA OYEE..
Wow, hongera Taifa STars ..
Vipi jamani mna kuna mtu ana habari yeyote kuhusu Manji? maana uvumi unatisha ingawaje binafsi najua ni majungu ya watani wetu, afikishwe yeye mahakamani aachwe Lowasa, Apson, na Mkapa?
MAGOLI YOTE NI YANGA IDDI, MAKASI, TEGETE
Al Ahly wanakuja tutaona tambo zenu na timu ya milioni 500.
Post a Comment