Sunday, October 25, 2009

Yanga vs Moro Utd

Yanga leo inajitupa kwenye uwanja wa Uhuru kupambana na Moro United katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania.

Mechi imemalizika kwa Yanga kuichapa Moro United 1-0. Bao la Yanga limefungwa na Nurdin Bakari katika dakika ya 32.

Kwa ushidi huo, Yanga ipo katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi kwa kujikusanyia jumla ya pointi 18.

3 comments:

CM said...

Yanga inaongoza 1-0 lililofungw katika dakika ya 32 na Nurdin Bakari.

Anonymous said...

matokeo ndio goli moja mpaka hivi?

CM said...

Dakika 90 zimemalizika hivi punde, Yanga imeifunga Moro United 1-0.