Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
Tuesday, January 26, 2010
Yanga 1991
Je, mnalikumbuka hili squad la mwaka 1991? Kwa mdau mwenye kumbukumbu nzuri hebu tushushie majina
6 comments:
Anonymous
said...
Stephen Nemes, Sahau Kambi, Selemani Mkati, Ken Mkapa, Godwin Aswile, Thomas Kipese, Salum Kabunda, Abboubakar Salum, Fredy Minziro, Said Swedi, Issa Athuman,Said Zimbwe, Justin Mtekele, Kocha alikuwa Mziray, nimeandika majina bila kufuata utaratibu, nadhani wachezaji wawili majina yao nimeyasahau.
sasa hapo line up ilikuwa: sahau kambi minziro, aswile 'scania', kabunda na mkapa abubakar, issa na mtekere ss scud, mgazija na sanifu.
kama sikosei kikosi hiki kilichukua ubingwa, alafu wakaenda uganda afrika mashariki na kati msimu uliofuata: namba zilizoongezeka msimu uliofuata (hawapi pichani) lunyamila, mmachinga na said mwamba
alafu akafuata mtwa kihwelu, (na winga mmoja mkongwe akaja kutoka simba (sikumbuki jina lake)
enzi hizo marehemu gulamali alikuwa kwenye 'helm'. acha kabisa,
6 comments:
Stephen Nemes, Sahau Kambi, Selemani Mkati, Ken Mkapa, Godwin Aswile, Thomas Kipese, Salum Kabunda, Abboubakar Salum, Fredy Minziro, Said Swedi, Issa Athuman,Said Zimbwe, Justin Mtekele, Kocha alikuwa Mziray, nimeandika majina bila kufuata utaratibu, nadhani wachezaji wawili majina yao nimeyasahau.
Aswile, Zimbwe, Tingisga, Kabunda, Sure Boy, Minziro, Mtekere, Skudi, Mido
Issa A, ??, Ken, Sahau, Nemes, Mkati
meneja wa timu mr mohamed virani.
Kutoka kushoto waliosimama: Mziray, Maggid, Dk Manyika, Mkati, Nemes, Kambi, Mkapa, Mngazija, Issa Athumani, Virani.
Waliochuchumaa kutoka kushoto: Aswile, ZImbwe, Sanifu, Kabunda, Abubakar, Minziro, Mtekere, Scud na ????
Mdau wa nne kawataja vizuri sana! Wa mwisho aliyeshindwa kumtaja ni Jumanne Shengo.
sasa hapo line up ilikuwa:
sahau kambi
minziro, aswile 'scania', kabunda na mkapa
abubakar, issa na mtekere
ss scud, mgazija na sanifu.
kama sikosei kikosi hiki kilichukua ubingwa, alafu wakaenda uganda afrika mashariki na kati msimu uliofuata: namba zilizoongezeka msimu uliofuata (hawapi pichani) lunyamila, mmachinga na said mwamba
alafu akafuata mtwa kihwelu, (na winga mmoja mkongwe akaja kutoka simba (sikumbuki jina lake)
enzi hizo marehemu gulamali alikuwa kwenye 'helm'. acha kabisa,
Post a Comment