Yanga Blog iko juu kwa mabreaking news za sports kuliko blog zte za Kibongo! Big up wanayanga muendelee kutuletea breaking news. Mimi ni Simba damu damu, lakini kwa hili nawapa hongera
Jamani wanaYANGA wenzangu, lazima tuonyeshe tofauti kati yetu na hao wenzetu ambao ustaarabu umewapita kando. Lengo la Blog hii si kutukanana ila kupeana habari na kubadilishana mawazo. Hongera kwa wenzetu wale wanaoonyesha ustaarabu pamoja kuwa ni wa upande mwingine. AKITUKANA MWACHE USIMJIBU ATAJIONA MJINGA ATAACHA. Narudia, tunapokea maoni changamoto na ushauri toka kwa yeyote lakini si kejeli wala matusi. KILA LA HERI YANGA LEO UWANJA WA UHURU.
14 comments:
Simba imeifunga JKT Ruvu 3-1 katika mchezo uliomalizika muda mfupi uliopita.
Simba imebakiza pointi 2 kutwaa ubingwa.
Tusikate tamaa na mbio za ubingwa, akitoka sare mchezo mmoja na kufungwa miwili kati ya mitatu iliyobaki nasi tukashinda yote tutatetea taji letu.
Tunahitaji ushindi kesho ili kuendelea kuwa na matumaini na wakati huohuo tukiombea wenzetu wachemshe.
Yanga Blog iko juu kwa mabreaking news za sports kuliko blog zte za Kibongo! Big up wanayanga muendelee kutuletea breaking news.
Mimi ni Simba damu damu, lakini kwa hili nawapa hongera
Endeleeni kuota!! Yaani mko kama fisi anaevizia mkono uanguke!! Haunguki huo mlie tu, subirini mwanakni mjipange upya. Yeboyebo mdebwedo!!!!!
yebo yebo mama yako wewe fisi
Mtatukana sana mwaka huu YEBOYEBO MDEBWEDO. Lazima mwaka huu ubingwa uchukuliwe mgongoni kwenu!!!
Jamani wanaYANGA wenzangu, lazima tuonyeshe tofauti kati yetu na hao wenzetu ambao ustaarabu umewapita kando. Lengo la Blog hii si kutukanana ila kupeana habari na kubadilishana mawazo. Hongera kwa wenzetu wale wanaoonyesha ustaarabu pamoja kuwa ni wa upande mwingine. AKITUKANA MWACHE USIMJIBU ATAJIONA MJINGA ATAACHA. Narudia, tunapokea maoni changamoto na ushauri toka kwa yeyote lakini si kejeli wala matusi. KILA LA HERI YANGA LEO UWANJA WA UHURU.
Yanga vs Azam
Line up:
1. Obren
2. Mbuna
3. Maftah
4. Nadir
5. Owino
6. Chuji
7. Nurdin
8. Babbi
9. Tegete
10. Ngassa
11. Kiggi
1-0 Ngassa dk.13
2-0 Tegete dk 27
2-1 John Boko dk42 (pen)
Dakika 90 zimemalizika kwa ushindi wa 2-1.
Kwa ushindi huu Yanga inafikisha pt 45.
Simba itabidi iendelee kusubiri kwani endapo Yanga leo ingetoka sare au kufungwa basi Simba ingekuwa bingwa.
Mashabiki kadhaa wa Simba walijitokeza uwanjani leo na fulana zilizoandikwa SIMBA BINGWA kwa matarajio kwamba Yanga ingepoteza pointi dhidi ya Azam.
hawa tutawakamata kwenye mechi za kimataifa tutawashangilia wageni mpaka wataomba mechi iishe.subirinisimba na zimbwabwe.
Post a Comment