Leo uso kwa uso na Polisi Moro
Mabingwa watetezi wa Ligi ya Tanzania Bara, Yanga leo inakumbana na Polisi ya Morogoro katika mchezo wa Kundi A Ligi ndogo ya TFF utakaopigwa kwenye Uwanja wa Shiekh Amri Abeid Jijini Arusha.
Polisi Moro inaongoza Kundi A kwa kujikusanyia pointi 6 wakati Yanga ina pointi 4.
Kila la heri Yanga.
Polisi Moro inaongoza Kundi A kwa kujikusanyia pointi 6 wakati Yanga ina pointi 4.
Kila la heri Yanga.
No comments:
Post a Comment