5 wateuliwa kuingia Kamati ya Utendaji
Aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Chama cha soka nchini (FAT) - sasa TFF , Ally Hassan Mwanakatwe ni mmoja wa wajumbe 5 walioteuliwa kushika nafasi ya ujumbe wa kamati ya Utendaji ya klabu ya Yanga.
Wengine walioteuliwa kushika nafasi hizo ni Hashim Lundenga, Emmanuel Mpangala, Ibrahim Didi na Clemence Sanga.
Wengine walioteuliwa kushika nafasi hizo ni Hashim Lundenga, Emmanuel Mpangala, Ibrahim Didi na Clemence Sanga.
No comments:
Post a Comment