Msimamo wa ligi
Hadi sasa mambo si mazuri sana kwa upande wetu kama mnavyojionea wenyewe kwenye msimamo wa ligi.
P | W | D | L | F | A | GD | PTS | ||
1 | PRISONS | 10 | 7 | 2 | 1 | 18 | 8 | 10 | 23 |
2 | POLISI MORO | 10 | 4 | 5 | 1 | 9 | 3 | 6 | 18 |
3 | KAGERA SUGAR | 10 | 4 | 4 | 2 | 9 | 5 | 4 | 17 |
4 | MTIBWA SUGAR | 10 | 4 | 3 | 3 | 7 | 8 | -1 | 15 |
5 | JKT RUVU | 10 | 3 | 5 | 2 | 9 | 7 | 2 | 14 |
6 | SIMBA | 10 | 3 | 5 | 2 | 8 | 6 | 2 | 14 |
7 | TOTO AFRICA | 10 | 3 | 4 | 3 | 7 | 8 | -1 | 13 |
8 | YANGA | 10 | 3 | 3 | 4 | 6 | 5 | 1 | 12 |
9 | MORO UNITED | 10 | 2 | 6 | 2 | 3 | 3 | 0 | 12 |
10 | ASHANTI UNITED | 10 | 2 | 5 | 3 | 4 | 7 | -3 | 11 |
11 | POLISI DODOMA | 10 | 1 | 6 | 3 | 10 | 13 | -3 | 9 |
12 | COASTAL UNION | 10 | 2 | 3 | 5 | 4 | 8 | -4 | 9 |
13 | PAN AFRICA | 10 | 1 | 5 | 4 | 7 | 12 | -5 | 8 |
14 | MANYEMA | 10 | 0 | 7 | 3 | 3 | 7 | -4 | 7 |
5 comments:
Mambo mawili:
1. Nadhani tutakuwa nafasi ya 8 chini ya Toto, maana wana point moja zaidi yetu.
2. Viongozi waache lawama kwa wachezaji. Tumeshafungwa na mnyama, tugange yajayo.
Hakuna sababu ya kujikosha ooh, viongozi tulitimiza wajibu wetu, oh wachezaji walicheza chini ya kiwango.. haisaidii.
Concentration iwe kwenye mechi zinazokuja.
Angalia GD ya timu ya Prisons ktk msimamo nadhani inahitaji marekebisho!!!
Yanga leo imeibuka na ushindi wa 1-0 bao likifungwa na Maurice Sunguti ktk dakika ya 12.
Wenzetu Simba leo wamelambwa 3-2 na Toto Africa
Haahaaaaa...
Majigambo ya Julio watakuwa yameishia wapi?
Tuangalie yajayo sii yaliyopita. Kwa msimamo huo tutakuwa juu ya Simba kwa point ...
Yeah,
kinachotakiwa hapa ni kusonga mbele na huko mbeleni kuwa waangalifu mno na program zetu.Sidhani kama inasaidia kuanza kutafuta kocha wakati ligi ishafikia half way, then kiongozi unalaumu wachezaji tu!wangejilaumu hata wao kwa kutotimiza wajibu wao ingawa na hapo pia wachezaji hawawezi kukwepa lawama. Tuache kuwatisha wachezaji and let them get on with their work, juhudi zaidi zinahitajika na wala mtu asidanganyike hawa Prisons wanafungika tu hapa Mbeya maana wakati mwingi wanacheza mpira wa kawaida tu so Yanga wasihofu sana wacheze wanavyoweza!
Post a Comment