Monday, October 22, 2007

"Wajelajela" waongezeka

Kipa Benjamin Haule:
Amefungiwa mechi 6 na faini ya 200,000/=
kwa kumpiga kiwiko mchezaji wa Toto Africa




Ben Mwalala
Amefungiwa mechi 6 na faini ya 200,000/=

kwa kumtukana mwamuzi.


No comments: