Taifa Stars itajitupa uwanjani huko Praia, Cape Verde kupambana na timu ya Taifa ya nchi hiyo katika mchezo wa Kundi la 1 la kuwania nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika pamoja na Kombe la Dunia 2010.
Pambano hilo litakalopigwa Jumamosi jioni (saa 12 za TZ), linatarajiwa kuwa gumu hasa ikizingatiwa kwamba Cape Verde itataka kurejesha imani yake kwa mashabiki wake baada ya kuonja kichapo cha 2-0 wiki mbili zilizopita kutoka kwa Cameroon.
Taifa Stars nayo imeondoka huku Watanzania wakiwa na wasiwasi katika safu yake ya ushambuliaji ambayo ilikosa mabao mengi ya wazi wiki iliyopita dhidi ya Mauritius.
Lakini pamoja ya yote hayo, sala zote ni kwa Taifa Stars. Mungu Ibariki TZ.
16 comments:
mechi itaanza saa 2 usiku kwa saa za TZ
KIKOSI KITAKACHOANZA LEO:Ivo,Nsajigwa,Maftah,Sued, Nadir,Bonny,Iddi,Nizar,Henry, Gabriel,Mrwanda.
Tutasubiri matokeo hapa.
Halftime: 0-0
Kikosi chetu kiko hivi
* (GK) Ivo MAPUNDA 1
* Meshack ABEL 2
* Amir MAFTAH 3
* Nadir HAROUB 4
* Salum SWED 5
* George OSSEY 6
* Athuman IDDY 10
* Yellow Card Emanuel GABRIEL 11 dk ya 32
* Nizar KHALFAN 12
* Geofrey BONY 17
* Uhuru SELEMAN 18
Kipindi cha pili kimeanza bado ni 0-0
anon wa 9:02PM hapo juu naona hiyo list ina walakini kidogo. List iliyotolewa mapema ndiyo iliyopo uwanjani.
Wewe Anon hapo juu data kamili hizo toka FIFA.com, mpira ni dk ya 65 bado 0-0, list ndio hiyo ya hapo juu sijui kaitowa wapi?
Habari zaidi cheki hapa
http://www.fifa.com/worldcup/preliminaries/africa/matches/round=250418/match=300036584/index.html
tumefungwa bao katika dakika ya 72.
Mpira ni dk. ya 67 tumechapwa bao la kwanza, tuko nyma 1-0
Taifa Stars hakuna mchezaji anayeitwa George Ossey. Meshack Abel hajasafiri na timu (amebaki TZ).Uhuru Suleiman yupo benchi.
Mpira umekwisha tumelala 1-0 kwa kweli sidhani kama tutashinda mechi hata moja maana timu haina washambuliaji kabisa.
Mpira umekwisha hivi punde na tumechapwa 1-0.
Mpira ulikuwa unatangazwa moja kwa moja na TBC.
Kwa matokeo hayo TZ imebakiwa na pointi 1 na tunakabiliwa na mechi ngumu wiki ijayo dhidi ya Cameroon.
jasa seo
jasa seo indonesia
jasa seo terpercaya
seo indonesia
jasa seo web judi
jasa buat website
jasa pembuatan website
Sbobet
Agen Sbobet
Agen IBcbet
agen MAXBET
bandar bola
judi bola
judi online
taruhan bola
agen resmi sbobet
agen bola
agen bola terpercaya
agen sbobet terpercaya
agen poker
poker online
agen poker terbaik
agen poker terpercaya
poker uang asli
situs poker
agen poker
poker online
agen poker terbaik
agen poker terpercaya
poker uang asli
Scr888 top up maxis is your one-stop portal for online gambling in Asia.
Betting is great fun and we’ve developed in-depth guides and resources for online gamblers from Asia.
We provide access to top-rated casinos and sports bookies. You’ll also find the best online slots, poker rooms and esports betting sites. https://www.evernote.com/shard/s510/client/snv?noteGuid=ef9cbefe-82e4-4f8c-b6e6-9de4b0690892¬eKey=e7488022db0a6496518e03365462540a&sn=https%3A%2F%2Fwww.evernote.com%2Fshard%2Fs510%2Fsh%2Fef9cbefe-82e4-4f8c-b6e6-9de4b0690892%2Fe7488022db0a6496518e03365462540a&title=918kiss%2Bjackpot%2Bhack
TOGEL212
agen togel212
alamat togel212
alternatif togel212
angka jitu hk togel212
angka jitu togel212
angka main hk togel212
aplikasi togel212
TOGEL ONLINE
jayatogel
togel online
togel singapore online
togel online terpercaya
daftar togel online
togel online sgp
jaya togel keluaran hongkong
jaya togel sdy
bandar togel online
situs togel online
togel online org
nomor hongkong togel online
togel online deposit 50000
pengeluaran togel online
BERKAH365
Berkah 365
liga Berkah365
link alternatif Berkah365
live chat Berkah365
Berkah365 seo
Berkah365 asia
login Berkah365
Post a Comment