Saturday, August 09, 2008

Yanga wapitisha katiba

Wanachama wa klabu ya Yanga jana walipitisha rasimu ya katiba ya klabu hiyo bila kupingwa katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Police Officers Mess Oysterbay Jijni Dar es Salaam.

Kwa habari zaidi cheki hapa

12 comments:

Anonymous said...

hongera wana yanga daima mbele

Anonymous said...

je hamkupitisha ile agenda ya kuikacha simba tena,

Anonymous said...

Inakuhusu nini? Mwanga wee!

Anonymous said...

vipi kifungo jamani wameachia

Anonymous said...

jamani kifungu wameachia tuanze kusherekea?

Anonymous said...

Mimi mwanayangalakini ushherekee nini???Wacha ujinga.

Anonymous said...

Mimi mwanayangalakini ushherekee nini???Wacha ujinga.

Anonymous said...

we una akili sana kuliko watu wote

Anonymous said...

inakuwaje jamani mbona hamtupi habari zilizojiri huko

Anonymous said...

MASHABIKI KAMA TIMU YENU WABISHI HALAFU MKIULIZWA MKACHE TENA

Anonymous said...

kusherekea siyo ushherekee mjinga baba yako.

Anonymous said...

Mjinga tu wewe fanya maandamano.Wajinga kama wewe ndio mnaipa jina baya timu yetu ya Yanga.