Wednesday, September 17, 2008

Ligi Kuu ya Vodacom

Mechi za leo Septemba 17, 2008

Simba vs JKT Ruvu................0 - 1
Mtibwa Sugar vs Prisons .......4 - 0

15 comments:

Anonymous said...

Mnyama kakatwa kisimi ha ha ha ha

Anonymous said...

Mnyama hoi atakula nyasi mwaka huu... na kama bakora hazitatembea Msimbazi basi kocha yuko hatiani kufukuzwa....

Anonymous said...

Nafikiri hili ni fundisho kwa wale wote ambao wamekuwa wakipapatikia makocha wa Simba kwamba ni wazuri kuliko kocha wa Yanga.Hii hali ya kufungwa kila siku ni nani anatakiwa kulumiwa kocha au nani. Na je hizo chenga wanazo piga mwisho kufungwa zinawasaidia kitu gani.Hakuna ubishi Kondik ni kocha wakuheshimika tofauti na wasio na upeo wa soka wanavyo fikiri.Ubora wa kocha unapimwa kwa vision yake na si chenga za uwanjani ambazo haziisaidii timu kufikia malengo. Nafikiri hawa wameumbuka sasa.

Anonymous said...

matokeo vipi? bado hamjapata

Anonymous said...

Mechi kati ya Yanga na Moro Utd inaendelea ambapo Yanga inaongoza 2-1. Dakika 58 zimeondoka hadi sasa

CM

Anonymous said...

Mechi kati ya Yanga na Moro United imekwisha kwa ushindi wa 2-1.

CM

Anonymous said...

shukrani kwa kutupasha habari ndio hiyo

Anonymous said...

Tupe wafungaji na kama ikiwezekana line up ilivyokuwa

Anonymous said...

Hi kaka I Younger here in EU ,kwa kweli mnyama kasha isha,wanajivunia kikosi lakini huu mwaka Jamhuri kiwelo domoo atakosa chakusema kwenye vyombo vya habari kama kawida yake! Yanga well done for to day!

Anonymous said...

wafungaji ni Boniface Ambani na Ben Mwalala

Anonymous said...

Jamani yule member wa kuwait mwenye jina matata saana kapotelea wapi? ha ha ha

Anonymous said...

vipi simba keshalala tena?

Anonymous said...

jamaa vipi mechi za leo bado hamna matokeo

Anonymous said...

Jamani tupeni feedback mechi A leo naona leo hakuna update yeyote!!!

Anonymous said...

simba 2-p/dom 2