Mnyama hana lake tena, kwa kikosi hiki cha sasa hana kwa kutokea. Magoli aliyofunga mchezaji mmoja katika mechi sita yanalingana na pointi zao zote, inatisha sana. Hata wao wanajua hilo ila wanajikaza tu, na golini safari hii mzungu watamhonga vipi hata kizungu kwao taabu.WAMEKWISHA
4 comments:
Mnyama kajivuta leo
Refa hajawabeba kweli kuepusha mauaji Msimbazi kwi kwi kwi kwi
Vipi jamani tumeanza mikakati kumkabili Mnyama..Tusijidanganye eti tutawafunga tutapokutana nao 0ktoba 26....Lazima tuwalinde mastaa wetu manake wasije wakatu rubuni....
Mnyama hana lake tena, kwa kikosi hiki cha sasa hana kwa kutokea. Magoli aliyofunga mchezaji mmoja katika mechi sita yanalingana na pointi zao zote, inatisha sana. Hata wao wanajua hilo ila wanajikaza tu, na golini safari hii mzungu watamhonga vipi hata kizungu kwao taabu.WAMEKWISHA
Post a Comment