ndg zangu mechi za yanga kule kaitaba -bukoba- huwa hazitabiriki, mi naona tukipata sare sio mbaya. kagera huwa wanatukamia sana tangu enzi zile wakiwa 'biashara kagera'!!!
Umeanza lawama.Kipa kafanya nini???Kufungwa sehemu ya mchezo tusifungwe sisi nani??Au unaamini ahadi za viongozi kwamba hatutafungwa??Mpira unadunda.Kuna kufunga.kufungwa na kutoka sare.
Kwanza hii ndo zuri ili kujua udhaifu wetu uko wapi ili kujipanga kabla mashindano ya klabu bingwa ya africa. Nilivyo tizama mechi ya Yanga JKT Ruvu, udhaifu ulikuwa hakuna condination kati ya Owino na Mmalawi. Siku hiyo Canavaro hakucheza alikuwa na msiba, Owino anakosea saana, sijui ilikuwa ni siku hiyo tu au lah, na habari za uhakika ni kuwa yanga kalala 2 - 0
Ni mchezo tukubali matoke tujipange mechi za ugenini ngumu ukichukulia Kagera ni mbali na waliondoka late J'tano (na sijui walienda na usafiri gani) cha muhimu ni kurekebisha makosa na kuangalia mbele timu yetu nzuri mwaka huu wetu tena na mzee mzima Mnyama naye puuu! tena Dar....! hilo kidogo latufariji
Tukubali matokeo huo ndio mpira.Hawaha walikamia sana timu yetu kwa hiyo hatukupata nfasi kabisa ya kucheza mpira wetu. Tukubali hayo matokeo tujipange upya bado tuna uwezo wa kufanya vizuri. Owino hakuwepo na hilo pengo lilionekana wazi kabisa, huyu bwana ni muhimu sana katika ulinzi. Lakini hayo yamepita tuangalie mbele
19 comments:
Naona tayari mambo yameanza huko? vipi hatuna wadau huko BK au radio Tz wanautangaza?
Mambo bado? aaaa mnajifanya hamjui?
ambani bado hajafunga?
Huko Bukoba bado ni 0-0.
Hapa Dar mpira ni mapumziko, tayari Simba amelela 1-0.
Huko BK sasa ni mapumziko. Bado ni 0-0.
ndg zangu mechi za yanga kule kaitaba -bukoba- huwa hazitabiriki, mi naona tukipata sare sio mbaya. kagera huwa wanatukamia sana tangu enzi zile wakiwa 'biashara kagera'!!!
Huko Dodoma na Mwanza pia ni 0-0
Huko MZA ni mapumzikoPolisi Moro 1 Toto 0
Dakika 47 Philip Olando anaipatia Kagera Sugar bao la kwanza.
Kagera Sugar 1 Yanga 0
Philip Olando anaipatia Kagera Sugar bao la pili.
Kagera Sugar 2 Yanga 0
Azam wanapata bao la pili katika dk. 90+4
Azam 2 Simba 0
Dar mpira umekwisha. Azam 2 Simba 0
Huko Kagera, Shamte Ally ametolewa kwa kadi nyekundu.
Mfungaji wa mabao 2 ya Kagera Sugar, Olando amepewa kadi nyekundu.
Bado dakika 10 mpira kumalizika.
mambo kweli kweli, lingi imepata utamu
Kipa wa leo ni nani
Umeanza lawama.Kipa kafanya nini???Kufungwa sehemu ya mchezo tusifungwe sisi nani??Au unaamini ahadi za viongozi kwamba hatutafungwa??Mpira unadunda.Kuna kufunga.kufungwa na kutoka sare.
Tunaomba matokeo ya mwisho basi, maana mara tuko nyuma goli 2 mara tumesawazisha... lipi ni lipi?
Kwanza hii ndo zuri ili kujua udhaifu wetu uko wapi ili kujipanga kabla mashindano ya klabu bingwa ya africa. Nilivyo tizama mechi ya Yanga JKT Ruvu, udhaifu ulikuwa hakuna condination kati ya Owino na Mmalawi. Siku hiyo Canavaro hakucheza alikuwa na msiba, Owino anakosea saana, sijui ilikuwa ni siku hiyo tu au lah, na habari za uhakika ni kuwa yanga kalala 2 - 0
Ni mchezo tukubali matoke tujipange mechi za ugenini ngumu ukichukulia Kagera ni mbali na waliondoka late J'tano (na sijui walienda na usafiri gani) cha muhimu ni kurekebisha makosa na kuangalia mbele timu yetu nzuri mwaka huu wetu tena na mzee mzima Mnyama naye puuu! tena Dar....! hilo kidogo latufariji
Tukubali matokeo huo ndio mpira.Hawaha walikamia sana timu yetu kwa hiyo hatukupata nfasi kabisa ya kucheza mpira wetu. Tukubali hayo matokeo tujipange upya bado tuna uwezo wa kufanya vizuri. Owino hakuwepo na hilo pengo lilionekana wazi kabisa, huyu bwana ni muhimu sana katika ulinzi. Lakini hayo yamepita tuangalie mbele
Post a Comment