Blogu binafsi kwa ajili ya wapenzi na wanachama wa Yanga popote pale ulimwenguni kubadilishana mawazo na kupashana habari
vipi wanaume wameshaingia uwanjani au bado???
mambo bado 0-0
Tunaongoza 2-1
Mabao ya Yanga yamefungwa na Boniface Ambani. Mpira bado unaendelea, tunaongoza 2-1
Dk.87 tumepata bao la 3. Mfungaji Castory Mumbala
Mpira umekwisha, tumeshinda 3-1.CM
Du asante kaka kwa habari hizi njema Bravo Yanga mwendo mdundo Ubingwa mapema mwaka huu
Kama kawaida wana Jagwani tunamsubiri mnyawa tumtafune kwa hamu hasa ukizingatia kipindi hichi anakula manyasi basi nguvu hana kabisaaaa
HIVI LINI TIMU ITAANZISHA WEBSITE??WENZETU MTIBWA, APR. YANGA NI TIMU KUBWA KIDOGO KAMA HICHI MNASUBIRI MPAKA TUCHAPANE BAKORA??
NAMNA HIYO WATOTO WA JANGWANI UBINGWA MAPEMA MWAKA HUU KAZENI BUTI KWANI NI FURAHAA MAPEMA
TUNATAKA WEBSITE
Nimeona jina la kipa, sio Kaseja, huyo kipa anatoka nchi gani na anauwezo kiasi gani? (aliyedaka dhidi ya Azam)
Huyo kipa ni Mserbia, uwezo wake ni kutazama takwimu za mechi alizocheza na wale waliobahatika kumuona akiwa golini ndo wanaweza kutuambia, lakini anaonyesha kuwa na uwezo mkubwa.
Post a Comment
14 comments:
vipi wanaume wameshaingia uwanjani au bado???
mambo bado 0-0
Tunaongoza 2-1
Mabao ya Yanga yamefungwa na Boniface Ambani. Mpira bado unaendelea, tunaongoza 2-1
Dk.87 tumepata bao la 3. Mfungaji Castory Mumbala
Mpira umekwisha, tumeshinda 3-1.
CM
Mpira umekwisha, tumeshinda 3-1.
CM
Du asante kaka kwa habari hizi njema Bravo Yanga mwendo mdundo Ubingwa mapema mwaka huu
Kama kawaida wana Jagwani tunamsubiri mnyawa tumtafune kwa hamu hasa ukizingatia kipindi hichi anakula manyasi basi nguvu hana kabisaaaa
HIVI LINI TIMU ITAANZISHA WEBSITE??
WENZETU MTIBWA, APR. YANGA NI TIMU KUBWA KIDOGO KAMA HICHI MNASUBIRI MPAKA TUCHAPANE BAKORA??
NAMNA HIYO WATOTO WA JANGWANI UBINGWA MAPEMA MWAKA HUU KAZENI BUTI KWANI NI FURAHAA MAPEMA
TUNATAKA WEBSITE
Nimeona jina la kipa, sio Kaseja, huyo kipa anatoka nchi gani na anauwezo kiasi gani? (aliyedaka dhidi ya Azam)
Huyo kipa ni Mserbia, uwezo wake ni kutazama takwimu za mechi alizocheza na wale waliobahatika kumuona akiwa golini ndo wanaweza kutuambia, lakini anaonyesha kuwa na uwezo mkubwa.
Post a Comment