Utetezi wa Tusker Cup kuanza leo
MABINGWA watetezi wa Kombe la Tusker, Yanga leo wanatupa karata yao ya kwanza kwenye michuano hiyo kwa kuvaana na URA ya Uganda katika mchezo utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Michezo hiyo ilianza juzi kwa URA kuibamiza Mtibwa Sugar 1-0 kwenye mchezo wa kundi A na jana Prisons ililala kwa mabao 2-0 mbele ya Tusker ya Kenya kwenye mchezo wa kundi B.
Michezo hiyo ilianza juzi kwa URA kuibamiza Mtibwa Sugar 1-0 kwenye mchezo wa kundi A na jana Prisons ililala kwa mabao 2-0 mbele ya Tusker ya Kenya kwenye mchezo wa kundi B.
13 comments:
vipi mambo yanaendaje hapo uwanjani?
Wazee hivi Manji yupo au ameishakimbia Nchi? mbona kimya sana...kwanza ile ahadi ya fedha aliyoitoa kwa wachezaji kabla ya mechi ya Simba, Je aliitimiza au?
Yupo, kwani vipi ..?
pilipili inamwasha huyu jamaa anaye ulizia manji.
Wanaofuatilia mpira live tupeni majina ya wafungaji, line-up, etc.
Mpira umekwisha kwa ushindi wa Yanga wa goli 1-0.
Shukrani CM. Wale waliokuwa wanaleta maneno ya uongo wasubiri siku yao kesho na Tusker.
Mfungani wa bao letu nani?
Tunashukuru sana CM. Kuna mijitu inajipenyeza penyeza kwenye blog yetu kutaka kutuharibia. Habari kibao za kifitna fitna, wivu, majungu na ushakunaku. Si waanzishe blog yao na wao! Mijitu mingine bwana!!
Kafunga Jerry tegete baada ya kazi nzuri ya Shamte
akhsante.
Yanga Kagoda FC, vipi jamani....mbona kimya.... malizeni basi jengo lenu na uwanja
Itabidi tuanze kuzimotita comments. Hatuwezi kudhalilishwa nyumbani kwetu. Mnasemaje wazee...
Kagoda ndio nini??Wadau namoba kufahamishwa.
Post a Comment