Nimeongea na watu wengi hapa niliokuwa naangalia nao mpira kwa kweli hawaamini kama ili ni Tanzania. Vijana wanacheza mpira wa kujiamini sana. Kuna tatizo moja ambalo mimi binafsi nimeliona. Senegali walituzidi kidogo ufundi ndani ya uwanja hasa jinsi walivyokuwa wanakaba katika hali kama hile hata kocha hawezi kubadilisha kwa dk. 10 za mapumziko. Tunahitaji mtu mmoja ambaye anauwezo wa kubadilisha mpira ndani ya uwanja bila maelezo ya kocha kama alivyokuwa kizota (RIP).
Matokeo ya leo RD Congo VS Libya 2-0 Ghana Zimbabwe 2-2 Kesho tunacheza na wenyeji. Tuombe mungu Senegal amfunge Zambia kwani hata sisi tulifungwa na Ivory Cost bado tutakuwa na nafasi ya kusonga mbeli kwani panga pangua Senegal lazima atacheza kufa na kupona atakapocheza na Ivory Cost kwani upinzani wao ni kama Yanga na Simba.
Senegal na Zambia hawajafungana na hayo matokeo ni mabaya sana kweli kwa upande mwingine kwani tukifungwa tumeanga. Angefungwa mmoja ngoma bado ingekuwa mbichi. Ila ni mazuri kama tukishinda kwani tutajenga nafasi nzuri ya kufuzu. Dro siyo nzuri sana kwani itabidi tumfunge Zambia 3 - 0 ili tufuzu.
Wowwwwww, I can't believe Tanzania imemtoa mwenyeji mashindanoni. Hongereni sana vijana wa Maximo. Moto huo huo hadi final. Inabidi kumpiga bao Zambia na kusonga mbele.
sitoacha kusema mmembania bure kijana ngasa kwenda Norway heti dhamani yake ni usd 800000!!mchezaji toka bongo nchi isiyojulikana ktk ulimwengu wa soka hiuze mchezaji kwa pesa hiyo miujiza hiyo,hata wanaigeria huanzia uko kwanza ktk nchi dogo[mikel wa chelsea]alinunuliwa norway kwa usd 50000 baada ya kuonekana thamani yake ikazidi au nonda aliaanzia wapi?pls tumwanchie Ngasa aende norway hiyo ndo njia pekee ya yeye kuingia ktk ligi kubwa za ulaya,tunajidanganya kwa mchezaji wa tz leo hii kuanza direct kucheza England,italy au France,jamaa wa norway bado wanamuuitaji ngasa kwa usd 50000 na wanasema yanga hawatoi ushilikiano ktk jambo hili.
39 comments:
zambia wanaongoza 3=0 bado dakika 2
Zambia wamefanya mechi yetu za Ivory Cost iwe ngumu zaidi na watafanya senegal wacheze kwa makini zaidi. Kazi ipo.
Mhh mpira umeisha 0-1 hizo mbili nyingine wamefunga baada ya mpira kuisha?
http://www.cafonline.com/competition/african-nations-championship_2009/results-fixtures
Ivory Coast imechapwa 3-0 na Zambia katika mchezo wa ufunguzi uliomalizika hivi punde
mpira umeisha zambia 3 ivory coast 0 hiyo tv uliokuwa unatazama mpira gani?
LINE UP ITAKAYOIVAA SENEGAL MUDA MFUPI UJAO:
1. DIHILE
2. NSAJIGWA
3. JABU
4. NADIR
5. SWEDI
6. BONNY
7. JOSEPH
8. NIZAR
9. TEGETE
10. NGASSA
11. HARUNA
Dakika ya 30 tumepachikwa bao.
Online inapatikana
www.sunutv.com
Channel RTS1
Online inapatikana
www.sunutv.com
Channel RTS1
Ameingizwa Mgosi...
Kwa ujumla stars wanacheza mpira mzuri na wanajiamini sana utafikili ni timu zoefu ila kuna makosa madogo madogo.
Mapumziko tuko nyuma kwa bao 1.
FT: tumechapwa 1-0
Nimeongea na watu wengi hapa niliokuwa naangalia nao mpira kwa kweli hawaamini kama ili ni Tanzania. Vijana wanacheza mpira wa kujiamini sana. Kuna tatizo moja ambalo mimi binafsi nimeliona. Senegali walituzidi kidogo ufundi ndani ya uwanja hasa jinsi walivyokuwa wanakaba katika hali kama hile hata kocha hawezi kubadilisha kwa dk. 10 za mapumziko. Tunahitaji mtu mmoja ambaye anauwezo wa kubadilisha mpira ndani ya uwanja bila maelezo ya kocha kama alivyokuwa kizota (RIP).
Matokeo ya leo
RD Congo VS Libya 2-0
Ghana Zimbabwe 2-2
Kesho tunacheza na wenyeji. Tuombe mungu Senegal amfunge Zambia kwani hata sisi tulifungwa na Ivory Cost bado tutakuwa na nafasi ya kusonga mbeli kwani panga pangua Senegal lazima atacheza kufa na kupona atakapocheza na Ivory Cost kwani upinzani wao ni kama Yanga na Simba.
kuna habari zozote za ivory coast?
vipi stars leo?
jamani si leo tunacheza vipi huko?
jamani si leo tunacheza vipi huko?
baada ya saa toka sasa
Senegal na Zambia hawajafungana na hayo matokeo ni mabaya sana kweli kwa upande mwingine kwani tukifungwa tumeanga. Angefungwa mmoja ngoma bado ingekuwa mbichi. Ila ni mazuri kama tukishinda kwani tutajenga nafasi nzuri ya kufuzu. Dro siyo nzuri sana kwani itabidi tumfunge Zambia 3 - 0 ili tufuzu.
Stars 1- Ivory Coast 0 mfungaji Mrisho Ngassa
http://www.paddypower.com/bet?action=go_betlive_event&ev_id=1362015
Mahenge,
Syracuse, N.Y
Mungu Ibariki T-Stars, matokeo yaishe mazuri namna hiyo.
Bado 1-0, dk ya 88
Mahenge,
Syracuse, N.
mpira umekwishaaaaaaa Starz 1-COTE D'VOIRE 0000000
Wowwwwww, I can't believe Tanzania imemtoa mwenyeji mashindanoni. Hongereni sana vijana wa Maximo. Moto huo huo hadi final. Inabidi kumpiga bao Zambia na kusonga mbele.
Zambia wahindi wetu lazima tuwabamize..watakoma
hongera stars tanzania hoooyeeeeeeeee
jamani vipi mradi wetu, umefikia wapi? je kazi imeanza? I hope hapa watu tuko serious si kijiweni
Mdau hapo juu na wengine, jiungeni na wenzio ktk http://sports.groups.yahoo.com/group/yangasc/join
au tume email kwenda yangasc-subscribe@yahoogroups.com
usaidie kazi, maana bila wewe, then nani?
tunaomba yakipatikana matokeo ya gemu ya stars mutupatie,
thanks
Wazee chama vipi matokeo huko ivory coast mbona kimya? tupeni matokeo jama.
Nimeangalia kwenye tovuti ya CAF inaonyesha ya kuwa mechi zote mbili zimeisha kwa sare ya 0-0. Kwa maana hiyo basi Watanzania tunarudi nyumbani
1/8th final round
GROUP A
02-22-2009 Cote d'Ivoire 0 - 3 Zambia
02-22-2009 Senegal 1 - 0 Tanzania
02-25-2009 Zambia 0 - 0 Senegal
02-25-2009 Tanzania 1 - 0 Cote d'Ivoire
02-28-2009 Cote d'Ivoire 0 - 0 Senegal
02-28-2009 Zambia 0 - 0 Tanzania
Group A
Team MP W D L GF GA GD Pts
Zambia 3 1 2 0 3 0 3 5
Senegal 3 1 2 0 1 0 1 5
Tanzania 3 1 1 1 1 1 0 4
Cote d'Ivoire 3 0 1 2 0 4 -4 1
tumetolewa, 0-0 mechi zote mbili
moderator,
Vipi mbona kimia hakuna kweli habari za Yanga? hata kutupa kinachoendelea na mataarisho ya mechi na waarabu?
mpira wa leo vipi?
CM likizoni au?
Yanga imeshinda 3-0, pata matokeo hapa;
http://mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=10561
Mdau wa Yanga; Syracuse,NY
sitoacha kusema mmembania bure kijana ngasa kwenda Norway heti dhamani yake ni usd 800000!!mchezaji toka bongo nchi isiyojulikana ktk ulimwengu wa soka hiuze mchezaji kwa pesa hiyo miujiza hiyo,hata wanaigeria huanzia uko kwanza ktk nchi dogo[mikel wa chelsea]alinunuliwa norway kwa usd 50000 baada ya kuonekana thamani yake ikazidi au nonda aliaanzia wapi?pls tumwanchie Ngasa aende norway hiyo ndo njia pekee ya yeye kuingia ktk ligi kubwa za ulaya,tunajidanganya kwa mchezaji wa tz leo hii kuanza direct kucheza England,italy au France,jamaa wa norway bado wanamuuitaji ngasa kwa usd 50000 na wanasema yanga hawatoi ushilikiano ktk jambo hili.
Post a Comment