Wednesday, October 07, 2009

Toto Africa vs Yanga
Yanga imefanikiwa kuichapa Toto Africa 1-0 katika mchezo uliomalizika hivi punde.

Bao pekee la Yanga limefungwa na Mrisho Ngassa.

Kwa ushindi huo, Yanga imefanikiwa kufikisha pointi 14.


17 comments:

Anonymous said...

Yanga inaongoza 1-0

Anonymous said...

sasa 2-0 tunaongoza

Anonymous said...

maskini phiri !je unaisikia hiyo.

Anonymous said...

itakuwaje maskini phiri wakati anatanua na timu yake.anaongoza ligi na jumapili anazoa pointi 3 zingine na kuendelea kupaa.

Anonymous said...

Usijali hata mkifungwa na Mnyama mtakata rufani Uhuru sio mchezaji halali hivyo mtapata pointi za bure.Ushindi wa mezani upo msijali.

Anonymous said...

yes mbona hachezi?hizo mil 8 zimeenda chooni.

Anonymous said...

cm tupe ukweli humu nasikia harufu za mnyama tuu!!!!!! kazi kweli kweli!!!!!!!

Anonymous said...

itakuwaje maskini phiri wakati anatanua na timu yake.anaongoza ligi na jumapili anazoa pointi 3 zingine na kuendelea kupaa.

Anonymous said...

Mnayama kapiga mtu tena.

Anonymous said...

poini 21 safi.mnyama mkali sana.

Anonymous said...

Mnyama anatisha kwa kweli.Tusipokaa cizuri tunakwenda na maji.

Anonymous said...

Wamejiandaa sana mwaka huu, kama sisi tulivyokuwa mwaka jana. Ligi bado...

Anonymous said...

Mtasema sana yebo yebo, Mnyama anazidi kutafuna tu Ngrrrrrr!

Anonymous said...

Tunawasubiri October 23 ndo mtajua kama maharage ni mboga au kiungo. Mnyama anatisha nyie

Anonymous said...

Oooooops, October 31 sio 23

Anonymous said...

Mbona mmekaa kimya sasa, kuchonga kumeishia wapi. Yanga kweli watu wa kupiga domo, Eti Sendeu sijui sendeku, anadai kuwa hizo pointi 7 atazipata kwa mfumo wa kuifunga simba mechi mbili na ataiombea simba itoke draw na kufungwa na timu zingine. Subiri tuone hiyo tarehe 31 October, kama mtapata pointi tatu, au ndo gap itaongezeka kwenda pointi kumi (10) LOL :)

Anonymous said...

baada ya 31 October, Sendeu itabidi aje na plan B badala ya kuropoka, LOL: