Friday, December 18, 2009

Tusker Challenge Cup 2009

Kampeni ya Tusker kuanza leo
Yanga leo itaingia uwanjani kupambana na Mafunzo ya Zanzibar katika michuano ya Tusker pambano litakalopigwa katika Uwanja wa Uhuru Jijini.

Michuano hiyo ya Tusker ambayo ilianza mwanzoni mwa wiki hii inashirikisha timu sita ambazo ni Yanga, Simba, Mtibwa Sugar na Mafunzao kutoka Tanzania pamoja na Tusker na Sofapaka za Kenya.

Timu hizo sita zimegawanywa katika makundi mawili; Sofapaka, Mtibwa Sugar na Simba wanaunda kundi A huku kundi B likishirikisha vilabu vya Yanga, Mafunzo na Tusker ya Kenya.

Mechi zilizochezwa hadi sasa:

Kundi A - Sofapaka vs Mtibwa (3-1), Simba vs Sofapaka (0-0).

Kundi B - Tusker vs Mafunzo (2-1)

31 comments:

Anonymous said...

matokeo vipi bado?

Anonymous said...

naona sisi tuliopo nje ya nchi matokeo tuyangoje ktk mwananchi hii blog simba wamemkera mhusika amekuwa hatupashi live

Anonymous said...

Tunaongoza 3-0 hadi hivi sasa. Magoli yamefungwa na Jerry Tegete 2 na Mrisho Ngassa.

Anonymous said...

ahsante ndugu hapo juu

Anonymous said...

Kuna matokeo yasiyo rasmi ambayo nimeyapata kwamba tumeshinda 6-0.

Jerry Tegete (3)
Mrisho Ngassa (2)
Boniface Ambani(1)

CM said...

Yanga imeichapa Mafunzo ya Zenji mabao 6-0.

Magoli yamefungwa na Tegete(3), Ngassa(2) na Ambani (1)

Anonymous said...

mubaraki...ubingwa wa yanga tu..mnyama nguvu kaishiwa

Anonymous said...

haa!!!!! haaaaa!!!!!! nani kaua yangaa yanga!!! asanteni vijana wa jangwani hakuna kudharau timu, hodi hodi mnyama

mdau italy

Anonymous said...

kwanza kabla ya kushangilia tujiulize hivi mafunzo ni kipimo kweli kizuri? maana tusije furahia tukajikuta tunaaibishwa, nauliza kwa sababu soka ya zenji haieleweki iko kiwango gani

Anonymous said...

sherehe ni sherehe we umeona jinsi gani wazenji walivyotutesa ktk chalenj kubali kataa wako juu zaidi yetu yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Anonymous said...

nasikia mnyama kalala leo...kuna ukweli jamani

Anonymous said...

Simba imeibuka na ushindi wa 2-1 na hivyo kushika nafasi ya pili katika kundi A.

Endapo Yanga itatoka sare au kushinda katika mchezo wa kesho, itakutana na Simba J'tano.

Anonymous said...

Simba kafungwa

Anonymous said...

Simba imeibuka na ushindi wa 2-1 na hivyo kushika nafasi ya pili katika kundi A.

Endapo Yanga itatoka sare au kushinda katika mchezo wa kesho, itakutana na Simba J'tano.

Anonymous said...

vipi matokeo leo..nasikia tumekubali kufungwa ili kumkwepa mnyama..tuwekee matokeo hapo basi

Anonymous said...

cm mpira ni mpira toa matokeo kufungwa jambo la kawaida tumezoea kwetu ndio dawa

Anonymous said...

wewe hapo juu mbona unashikilia matokeo yanga kufungwa ? acha zako

Anonymous said...

sasa kama vipi toa matokeo basi

Anonymous said...

cm laptop imeeibiwa?? mbona kimya

Anonymous said...

mwacheni CM jamani msiwe na wasiwasi ubingwa utatua jangwani...aweke asiweke matokeo simba na yanga watakutana tuu msiogope....

Anonymous said...

Yanga 1 VS Tusker 1
Goli limefungwa na Ambani

edwardsikawa said...

Yanga 3 Tsker 1

Jumatano ni Simba na Yanga

Anonymous said...

jee hiyo umeisikia ngoma ya papic? bado wewe .

Anonymous said...

tatazi humu kuna miharufu ya mnyama basi kaaaaaaziiii kweli kweli!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

sio papic hata nguru, kwa simba una mgoma utakula kibao kile kile

Anonymous said...

utaniambia siku hiyo babu ,mbona haraka mpira si unadunda.

Anonymous said...

echesa amesema timu anayoiogopa ni yanga kamuulize yeye sasa hayo maneno atakwambia .

Anonymous said...

yanga-tusker finali.

Anonymous said...

sio achesse mpaka boban kanambia walibahatisha ck ile mavi mu mchupi, wasije kuonekana wamepewa mpunga watakavyoshindwa j5. ni miteja yetu mambo yenyewe ni kukomaaa hakuna phill wala philps tunapiga chini

Tina said...

hahahahah,najihisi mtu mwenye raha sana hasa baada ya kuona hizi msg na ninahisi mchezo wa tar.26 utakuwa MTAMU sanaaaa.i cant wait to go!.MUNGU IBARIKI YANGA!

Anonymous said...

nipo huku naombea timu yangu ishinde nataka tumkate mnyama
lazima alale