Siku moja baada ya Shirikisho la soka Afrika CAF kuipanga klabu ya Yanga katika michuano ya Kombe la Shirikisho badala ya Ligi ya Mabingwa, hatimaye ratiba hiyo imerekebishwa na sasa Yanga itaanza kampeni yake kwa kuchuana na klabu ya FC Lupopo ya DRC.
Yanga itaanzia nyumbani kati ya tarehe 12, 13 na 14 Februari 2010 hii ikiwa ni raundi ya awali ya michuano hiyo. Mechi ya marudiano itapigwa wiki mbili baada ya pambano hilo la Dar es Salaam.
Endapo Yanga itavuka kikwazo hicho, itakumbana na Dynamos ya Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya michuano hiyo huku mechi ya kwanza ikipigwa nyumbani kati ya tarehe 19, 20 na 21 Machi 2010.
Yanga itaanzia nyumbani kati ya tarehe 12, 13 na 14 Februari 2010 hii ikiwa ni raundi ya awali ya michuano hiyo. Mechi ya marudiano itapigwa wiki mbili baada ya pambano hilo la Dar es Salaam.
Endapo Yanga itavuka kikwazo hicho, itakumbana na Dynamos ya Zimbabwe katika raundi ya kwanza ya michuano hiyo huku mechi ya kwanza ikipigwa nyumbani kati ya tarehe 19, 20 na 21 Machi 2010.
Kwa ratiba kamili cheki links hizi
10 comments:
jamani vipi mchezo wa kirafiki leo mghana kazuia?
mdau italy
Waungwana mtake msitake umasikini wa bara unasababishwa kuwabeba hawa watoto wa watumwa, ambao hawataki kufanya kazi bali kazi kufirana tuuuuuuuuuuu
ibilisi weeeeeee shut up
tena funga domo lako kale wali maharangwe simba yanga hooooooooooooyee
wewe hacha matusi mzima wewe kwanza nani kakuita
Tumekunywa kwa TMK 2-0.
hoja hujibiwa kwa hoja, hivi kawatukana nini huyu jamaa ili kuonyesha uungwana wenu mjibuni kwa hoja. Maana hili nami nimelisikia saana hata watu wamewahi kusema msaana kuwa kuna wasagaji hata mawaziri wanawake zenji.
wee anonymous wa pili hapa ni mahala petu sisi wana wa jangwani kupeana taarifa za mpira na sio ZE UTAMU halafu unaonekana mtu wa kuja, mtoto wa mjini haongelei maisha ya mtu. unahitaji msaada,
mdau ITALY
Jamani mmemsikia kijana Steve Bengo alivyokuwa anatesa hapo kati? sasa kulikoni Yanga hapati namba?
tatizo nafiliri jangwani bado mpira wa zengwe kama enzi zileeeeeee!!!!!!!!!!
Post a Comment