Mzungukao wa pili wa ligi kuu ya Vodacom inatarajiwa kuanza leo kwenye Uwanja wa Uhuru wakati Yanga itakapopambana na African Lyon.
Yanga inaanza mzunguko huo ikiwa katika nafasi ya tatu, nyuma ya timu za Simba na Azam. Simba ina pointi 33 wakati Azam ina pointi 21 sawa na Yanga lakini ina faida ya kuwa na magoli mengi ya kufunga.
African Lyon imejiimarisha katika dirisha dogo la usajili baada ya kuwaongeza wachezaji wazoefu kama Ivo Mapunda, Meshack Abel, Geogre Nyanda, Adam Kingwande na Vincent Barnabas. Pia benchi lake la ufundi limeimarishwa kwa kumkabidhi Charles Boniface Mkwasa mikoba ya kuinoa timu hiyo.
Yanga inatarajiwa kuendeleza makali yake iliyoonyesha katika kombe la Tusker, hivyo pambano hilo linatarajiwa kuwa la kuvutia.
Yanga inaanza mzunguko huo ikiwa katika nafasi ya tatu, nyuma ya timu za Simba na Azam. Simba ina pointi 33 wakati Azam ina pointi 21 sawa na Yanga lakini ina faida ya kuwa na magoli mengi ya kufunga.
African Lyon imejiimarisha katika dirisha dogo la usajili baada ya kuwaongeza wachezaji wazoefu kama Ivo Mapunda, Meshack Abel, Geogre Nyanda, Adam Kingwande na Vincent Barnabas. Pia benchi lake la ufundi limeimarishwa kwa kumkabidhi Charles Boniface Mkwasa mikoba ya kuinoa timu hiyo.
Yanga inatarajiwa kuendeleza makali yake iliyoonyesha katika kombe la Tusker, hivyo pambano hilo linatarajiwa kuwa la kuvutia.
29 comments:
Nawatakia kila la kheri ktk mzunguko wa pili mpira wa kitabuni kama yunavyoona ktk magazeti na ushindi ikiwezekana mzunguko wote bila kupoteza mtupe habari kama kawaida hatupo nyumbani daima mbele nyuma mwiko yanga damu baghdad
vipi huko
dakika 36 bado 0-0
tumepata bao la kwanza ktk dk ya 44 kupitia kwa Jerry Tegete
Halftime
Yanga 1 African Lyon 0
mpira bado haijaisha
cm mambo vipi vijana wa papic wanaupiga? mdau italy
dakika 90 zimemalizika kwa ushindi wa mabao 2-0
Tegete (44) na Ngassa (90)
Asante CM, nadhani ushindi huu utatupa moto wa kusonga mbele! Naona wachezaji wazawa wanazidi kumuonesha Kondic kwamba falsafa yake ya kujaza wachezaji wa kigeni yanga haikuwa na manufaa kwa club kwani hawajaonesha mchango wao msimu huu, hasa katika kucheka na Nyavu!
Mdau, ughaibuni!
hebu tupe tathmini kamili ya mchezo
alafu na msimamo ukoje?
Mnyama kapiga mtu tena, haya majamaa yatachukua Ubingwa mapema tu.
kakupiga wewe acha umbeya
jamani jinyama vipi mlio nyumbani?
mdau italy
Mnyama kashinda goli 2, magoli yote yamefungwa na Mgosi, jamaa wakishinda mechi nne tu, watakuwa wamechukua Ubingwa
mwaka huu ni wao sisi tujipange mwakani
mnakumbuka shuka kumeshapambazuka hahahaha
kamwambie mkeo,hahahahahahahahaha
vipi mechi ya leo ya simba inaendeleaje?
mnyama anaongoza 2-0
mgosi na nyagawa
haya mnyama katafuna tena leo
Simba 2 Vs Prisons 1
Mgosi x 2
Nyagawa
samahani simba 3 Prisons 1
nafikiri wazo busara mnyama si mwenzetu mwaka huu tujifue mabingwa wa africa kwani speed ya mnyama kali mnyonge mnyongeni haki mpeni ubingwa wake .
jangwani halisi.
Wahusika wa hii web mko wapi habari zote za zamani, hakuna mtu ana update kabisa yaani habari za Yanga tunazisoma kungine kabisa wakati zilikua zitoke hapa kwanza na ndio vyombo vingine vinukuu, kama mmeshindwa kazi tupeni sisi hiyo password tu-take care for this website. Nawashukuru waungwana mliopo Bongo kwa ku update na kutupa matokeo za mechi moja kwa moja endeleeni pia leo kutupasha..
Washkaji msitusahau basi matokeo ya Yanga na manyema leo hii tupeni matokeo kila wakati, maana wahusika wa web hii wamelala!!!
Mechi imeshaanza au bado wanajangwani??
Mechi bado saana, sasa hivi ni saa tisa mchana
Sawa msitusahau tu.
mambo yanasemaje huko??
Post a Comment