Shughuli kuendelea leo
Ligi Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuendelea leo katika viwanja mbali mbali. Michezo itakayopigwa leo ni:
Yanga vs JKT
Kagera Sugar vs Simba
Mtibwa vs Majimaji
Toto vs Manyema
Kagera Sugar vs Simba
Mtibwa vs Majimaji
Toto vs Manyema
15 comments:
lazima tuwapigishe kwata
lazima tuwapigishe kwata
sekunde ya 45
Yanga 1 JKT 0 - Mrisho Ngassa
Half time
Yanga 1 JKT 0
Huko Kagera mambo bado 0-0 - halftime
huko Bukoba: Simba 1 Kagera 0
Huko Bukoba 1-1 mpira unaendelea
naona hao wana msimbazi ni mwaka wao..tukubali mnyama bingwa mwaka huu...
asante CM n
wewe unaesema mwaka wao ni mnyama tena tusikusikie tena humu ndani nyama we!!!!! °çé*°§§§°° U mijitu mingine bwana
FULL TIME:
KAGERA SUGAR 1 SIMBA 1
Kwa msimu wa tatu mfululizo Kagera Sugar imefanikiwa kuharibu rekodi ya timu ambazo zilikuwa zimeshinda mechi zote.
2007/08 - Prisons
2008/09 - Yanga
2009/10 - Simba
Yanga vipi?
cm toa rada
rada ya nini si yanga kashinda 1-0
Aminia CM. Nakuaminia kaka. SGM-USA . Nadhani umenielewa.
nimekupata SGM
Post a Comment