Thursday, February 18, 2010

Yanga vs Kagera Sugar
Baada ya kuwakilisha taifa mwishoni ya mwa wiki, Yanga leo inaumana na Kagera Sugar kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacom itakayopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru.

13 comments:

Anonymous said...

sema kaka cm macho yte ktk msg zako wanasemaje wakata miwa?

CM said...

Halftime bado ni 0-0

Anonymous said...

naona wakongo wametupoozesha hamna matokeo mpaka hivi sasa

Anonymous said...

usijali mvua ipo ya magoli

Anonymous said...

humu hata wakiingia simba na kusema wayatakayo sababu ni kuwa wahusika wanakaa kimya !!!!!

CM said...

full time

Yanga 2 Kagera 1

Anonymous said...

wafungaji

CM said...

Ngassa dk 57 na Chuji dk 90

Nsajigwa - red card

Anonymous said...

shukurani, jamani vipi hiyo website bado tu?

Anonymous said...

jamani vipi myama kajikwaaa? maana mpaka sasahivi naendelea kutia ubani wa dua mbaya

Anonymous said...

Simba 4 Moro 1 sijui kama huko ndio kujikwaa.

Anonymous said...

hakuna wakumzui mnyama mwaka huu.tujipange mwakani maanake lupopo watatufunga jumamosi

gray said...

kwa kweli timu haikucheza vizur hasa sehemu ya kiungo. Abdi Kassim anatuangasha sana. kwa kweli inabidi abadilike. maana ashirikiani na wenzake katika kukaba. na hata pasi hatoi za uhakika. ila kwa ujumla Mnyama akae chonjo.