Friday, March 12, 2010

Watatu Yanga kwenda nje
Wachezaji watatu wa Yanga wataondoka muda wowote kuanzia sasa kwenda nje ya nchi kwa majaribio ya kucheza soka la kulipwa.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa Yanga Louis Sendeu, wachezaji watakaoondoka ni Jerry Tegete, Razak Khalfan na Ally Msigwa.

Sendeu amesema Tegete anatakiwa na Dalkurd FF ya ligi daraja la pili nchini Sweden huku Razak akitakiwa na klabu ya Vancouver White Caps anakosukumia gozi kaka yake Nizar Khalfan na Msigwa yeye akitakiwa na timu ya Highlanders ya Marekani.

20 comments:

Anonymous said...

hongera sana wachezaji hawa ,sasa huyu kocha akabhiziwe jukumu la usajili tunataka yosoo tuu sio majeruhi kutoka asia

Anonymous said...

mnyama kaumia leo atake asitake utanambia cm
mdau ufipani

Anonymous said...

mnyama kaumia leo atake asitake utanambia cm
mdau ufipani

imani madenga said...

mnyama anaongoza 1-0 tayari.ata hiyo hela chafu ya fisadi manji mliyomwaga kwa azam haitamzui simba kuchukua ubingwa.mlie tu

Anonymous said...

mziki bado ubingwa sahau leo labda baada ya mechi yetu mungu
kijijini ufipa,

Anonymous said...

fisadi wewe,baba yako na babu yako haya lete kichwa tena we mbwa koko.

Anonymous said...

Simba 2 Azam 0 Dakika ni ya 85. Fisi wote kimyaaaaa!! Mkono haudondoki huo mlie tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

Achimenengule mpooooo?????????????????

Anonymous said...

cm lete mziki hapo mie niko kijijini ufipa nipe raha kama kweli mnyama kamwagiwa lamba toto
kijijini ufipa

CM said...

Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Voda baada ya kuichapa Azam FC 2-0 katika mchezo uliomalizika hivi punde

Anonymous said...

Yaani wewe bado huamini?? Mnyama kachukua ubingwa tayari, mlie tu!!!!

Anonymous said...

Yanga nyinyi ni wakubwa fitina kwenye soka ya Tz lakini ukija kwenye uchezaji ni zero. kwenu nyinyi ni kupeleka pingamizi CAF na mambo mengine ya kipuuzi lakini mpira hamna. Muacheni mnyama atambe sasa ktk anga ya kimataifa

Anonymous said...

haya simba bingwa sasa tutaona mnalofanya .

Anonymous said...

SIMBA BINGWA!!!! YEBOYEBO ZZIIIIIII!!

Anonymous said...

mmebana mmeachia,sasa mkacheze kinesi cup manzense,mkae mkijua ubingwa hauta kuwa mzuri mpaka tuwatungue nyie mabwege YEBOYEBO.

Unknown said...

Kuweni wanamichezo wa ukweli. Hivi hamuwezi kusema jambo bila kutukana!?.

Anonymous said...

hawa jamaaa wanajulikana kwa kutukana wenziwe hamta endeleea kamwe.

Anonymous said...

Msishanbae simba ni timu ya waarabu na waarabu wanapenda kushikashika makalio ya wenzao ndio maana washabiki wao wanatukanatukana sana (nadhani mnakumbuka stori ya mchezaji mmoja kukutwa na shanga akiwa kambini)

Unknown said...

Du! hayo na makubwa na tusiyaingilie wala kuyashabikia hayatuhusu. Kama ni ya kweli ni ya kwao sisi tugange yetu.

Haya, ubingwa tushaugawa tufanyaje sasa? Nashauri tuwe makini kwenye usajili wetu mwaka huu. Kila mtu afanye kazi yake ipasavyo. Kocha aachiwe majukumu yake, viongozi nao watekeleze majukumu yao, Wapenzi na wanachama tutoe ushirikiano pindi inapobidi. Inapobidi tusione aibu kujifunza kutoka kwa wengine. Umoja na Mshikamano iwe Ngao yetu.

Anonymous said...

Mwaka huu tulikuwa na tatizo la kocha mwanzoni. Yule Kondic hakuwa kocha bali tapeli fulani kula hela ya Manji tuu. Mwaka ujao kama tukimpa lungu Papic jamaa watalia tuu. Tena tutatangaza mapemaa kama kwaka jana mechi sita kabla wakati wao wametangaza mechi mbili kabla. Bado tuna rekodi.