Yanga vs Moro Utd
Yanga leo jioni inapambana na Moro United katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania utakaopigwa katika Uwanja wa Uhuru.
Yanga tayari imejihakikishia nafasi ya pili katika ligi hiyo wakati Moro Utd ipo katika vita kubwa ya kupuka kushuka daraja.
Tusubiri dakika 90.
Yanga tayari imejihakikishia nafasi ya pili katika ligi hiyo wakati Moro Utd ipo katika vita kubwa ya kupuka kushuka daraja.
Tusubiri dakika 90.
7 comments:
Usisahau kutupatia matokeo. Tunayasubiri kwa hamu. Hata kama tumepoteza ubingwa, ushindi kwetu ni muhimu sana!
vipi ngoma nzito au?
tunaongoza 3-0. 2nd half ndiyo imeanza
asante ndugu yetu.
FT: Yanga 3 Moro Utd 0
Ngassa 2 & Ambani
Naomba nifahamishwe tawi la Yanga lililopo hapa Dodoma lipo eneo gani kwani tunataka kulipia kadi zetu za uanachama
Hellow Matola, Vipi habari ya UDOM. A very nice view of our Largest University. I like it. I am at MU
CM tusaidie kupata jibu la Amosam hapo juu. Au yeyote aliye Dodoma au anyejua tawi la yanga lilipo pale Dodoma atusaidie kumjulisha mwanataaluma huyu wa Udom.
Post a Comment