kamwe hamtaendelea maana mezoea kubebwa.naƶna refa ataongeza dk 20 ya nyongeza ili mshinde.ubingwa mekosa na mgosi mfungaji bora.kachezeni ndondi na francis cheka
Vihiyo njooni tuu muifanye Blogu hii iwe na wafuatiliaji wengi njooni tuu muijaze Blogu kwani hamna Teknolojia vihiyo kibaao na vibaka wamejaa timu yenu. Hii ndio Yanga Afrika hata iweje tutaendelea kuwa Yanga. Na mtakuja sana hapa kwani kwenu hamna kitu.
nani kabebwa sasa kama sio nyie? kadi nyekundu mbili.. yaani nyie ndio mnaleta mada ambayo haipo huo ushaidi wa kubebwa huko wapi? ninyi sio wanamichezo kabisa yaani mkifungwa tuu basi timu nyingine imebebwa...ooh sijui nini kwani Yanga kumfunga Simba imeanza leo? tutaona basi hao wamisri kama watabebwa.
Ushauri gani huo labda mnawaogopa hao waserbia kwa kuwa wanafumania nyavu zenu kila mchezo. Sasa kwa taarifa yako ndio kwanza wanapewa dau nono la usajili ili kuimarisha kikosi. Sasa wewe unataka kocha asitafute maslahi? Phiri leo akitakiwa na Zanzibar kwa pesa zaidi yenu asiende? Acha uzandiki wewe..
YANGA NI YANGA NA ITABAKI KUWA YANGA. HAIWEZI KUWA TIMU NYINGINE NA HATUWEZI KUHAMA. SIKU YETU ITAKUJA TUU. SIMBA NAONA MNACHUKIA MLIDHANI TUTAKUWA WANYOONGE KUFUNGWA LEO. SISI NI WANAMICHEZO TUKIFUNGWA HATUTUKANI MTU SIMBA IKIFUNGWA MPAKA WATU WANACHOMWA VISU.. WENZETU KWELI WASHAMBA SANA.
Yanga (Kanda mbili) tangu lini na mpira. Mdebwedo ni kupata kichapo tu, mumepambwa sana kwy magazeti na vyombo vya habari... lakini ss maneno yetu yako uwanjani. Na mumeona kazi ya wanaume..MLIE TU MIDOBWEDO .. KANDA MBILI... KUDADEKI....MALASHI YA UNGUJA. Mtajiju
Unajua maana ya kuandika kwa herufi kubwa? Maana yake ni kuwa unapiga kelele. Shabiki gani asiyehuzunika timu yake inapofungwa? Lazima utakuwa shabiki mdebwedo!
Yeboyebo kubalini tu kuwa Simba kawafilimba nyumbani na ugenini. Jaribuni tena bahati yenu mwakani
Hah! Hah! Hah! Eti simba wagomvi. Nani katolewa kwa kumpiga mwenzake kichwa uwanjani?
Jamani raha! Leo yaani roho nyeupee!! Kandambili kabonyezwa kelele kwisha mitaani. Rudini kwa Tajiri yenu mkatoe ripoti ya namna mlivyotumia pesa zake kujifunza ngumi. Walahi minjino lazima aingie mitini kwani pesa kala halfu kaleta mtalii kwa madai eti kocha
Kweli nimeamini Yanga ina influence sana katika Tanzania kuliko timu yeyote ile. Simba wanafuatilia sana hii blogu na ndio tunataka sana hiyo.Yanga ndio timu iliyotwaa ubingwa wa Tanzania mara nyingi kuliko timu nyingine lazima watu wafuatilie maendeleo yake. Hii safi sana.
74 comments:
Yanga musubiri kichapo tu, Midebwedo Jangwani.
Mgosi 2, Baraza 1
Simba 3 Yanga 0
izo za mamaako utajuta kuzaliwa siku hiyo wewe mdomo kama tarumbeta
Yanga kama embe "bolibo" kila mtu analitamani kulila lakini mlaji ni mmoja tu nae ni SIMBA WA NYIKA.
Mnalo hilo!!!!
ya nini kuandikia mate na wino upo firi kashaliona hilo kakwepa lawama
stupid you the first, above.
CM NISAIDIE KUMSHTUA NDG MWAMBE, NAMTAFUTA NIMEPOTEANA NAYE KIMAWASILIANO.
IT IS ME BASILI
Simba inaongoza bao 1
duh kwani mpira imeshanza
dakika ya 31 Yanga imesawazisha kupitia kwa Chuji
nani kafunga?
duh kwani mpira imeshanza
huyo anayeuliza mpira ushaanza yuko dunia gani?
Nazitakia timu zote mchezo mzuri wenye ushindani na amani
Safi sana CM , SGM hapa. la Simba kafunga nani maana mfungaji bora pia tuna vita nao.
mfungaji wa simba uhuru selemani dk 4
Half time 1-1
Simba ilianza kupata bao ktk ya 4 kupitia kwa Uhuru Selemani.
Yanga imesawazisha katika dk ya 31 baada ya piga nikupige langoni mwa Simba.
Ok safi sana CM. Kipa wetu nani leo? Ngassa anacheza? SGM
Kikosi cha Yanga leo:
1. Obren
2. Nsajigwa
3. Maftah
4. Wisdom
5. Nadir
6. Chuji
7. Nurdin
8. Babbi
9. Ambani
10. Ngassa
11. Kiggi
Huyo Ambani hawezi funga hapo angekuwa Tegete
dk52 Yanga 1 Simba 2
Mgosi
dk 58 Yanga down to 10 men Wisdom Ndlovu -second yellow
Hapo ndo basi tena hatuwezi
Mbona bado mapema? Natumaini mashabiki wa Yanga wameenda na kapu uwanjani tayari kwa kubeba magoli watakayofungwa
dk. 67 Super Sub Jerry Tegete anasawazisha 2-2
safi sana . Nilisema mimi Tegete ndie anaweza funga huyo Ambani wamuache tuu msimu ujao hana kitu
Hapo sasa anatakiwa aingie Shamte Ali. Yanga inahitaji kusajili mabeki pia msimu ujao.
dk 74 Yanga 2 Simba 3
Musa Mgosi tena
Nimesema hatuna kabisa mabeki, ni uozo mtupu
kwani unaelewa hilo leo?
dk 85 Yanga down to 9 men - Amir Maftah given marching orders for head butting Juma Nyoso
Unaona hao ndio mabeki wetu bangi kweli!
mnatamani angekuwa haruna moshi ili mnge bahatika kumpatia red card.
fukuza tuu hawafai.
dk 88 Jerry Tegete anasawazisha kwa penalti.
Ni 3-3
Haya sasa mpira umewashinda
mnajaribu ndondi? Matumla hana mpinzani ombeni pambano nae!!!!
ndio mpira si wakati wa kulaumiana jamaa leo kwao tujipange upya
Safi ila hatujafurahia hao wachezaji wetu wasivyokuwa na nidhamu..
hizi fadhila za tegete tusemeje?
mnatamani angekuwa haruna moshi ili mnge bahatika kumpatia red card.
Tegete is a good player hasa akiwa kama substitute. Akianza huwa hana madhara sana.
ligi ipo mwishoni mchezaji asiefaa nje inshaallah kocha achukuwe wachezaji wenye vipaji
Shit its all over now.
dk 90
Yanga 3 Simba 4 - Echesa.
Echesa sent off for 2nd yellow
yes kumbe unajua walahi wewe unafaa kua mtabiri.
Its all over now, sidhani kama litarudi.
kamwe hamtaendelea maana mezoea kubebwa.naƶna refa ataongeza dk 20 ya nyongeza ili mshinde.ubingwa mekosa na mgosi mfungaji bora.kachezeni ndondi na francis cheka
At least ubovu umeonekana wapi, ni mabeki tuu ndio wabovu.
FULL TIME:
YANGA 3 SIMBA 4
wewe Kuna Boko ana mechi mchekea anaweza piga hata tano. Mgosi asubilie tuu.
mnatamani angekuwa haruna moshi ili mnge bahatika kumpatia red card.
timu inanuka rushwa mpaka viongozi
Next! Yanga mdebwedo hawezi shuguli pevu ya Simba. Rudini zenj mkapakwe mafuta ya karafuu! Aluuuuu!!!
ok huu ndio mpira ulivyo makosa yalikuwa mwanzo wa ligi hili ni funzo lazima tujiweke tayari ktk msinu ujao wacheni waseme midomo mali yao
Tangu lini Yanga na mpira, wao ni kubebwa tu labda wasubiri Kombe la Pombe wanaweza kubahatisha,
sasa Firi engekuwepo si zengefika 10!!
Rushwa mnaiona baada ya do 90? Mlikuwa wapi mwanzo?kubalini tu kuwa mwaka huu sio wenu kwani mmevalishwa shanga mara mbili na mnyama
mdomo mali yako mtani ongea
Simba mnakuja sana humu kwa kuwa hamna teknolojia ya kuanzisha Blogu yenu? Vihiyo wamejaa Simba kweli..
Mtajiju! Mpira ni uwanjani mambo ya blog ya nini? Mlichonga sana kombe la tusker sasa semeni!! YEBOYEBO
Mimi ninawasi wasi hawa YANGA kule zenj walipigwa MSUSUMIA. Huo MSUSUMIA ni mchezo mchafu, wanaume wanaingiliwa kwa nyuma kimazingara live sio usingizini, utalikuta libaba linacheka tu.
Bora kuwa kihiyo lakini ucheze mpira kulikuwa kuwa na blog ya wanandondi
Kama mumenuna Blog yenu ifungeni tukose wote, Lakini hii ni ZAMU ya Mnyama kutamba atakavyo, muache Mnyama ateme cheche. Mtajiju
Vihiyo njooni tuu muifanye Blogu hii iwe na wafuatiliaji wengi njooni tuu muijaze Blogu kwani hamna Teknolojia vihiyo kibaao na vibaka wamejaa timu yenu. Hii ndio Yanga Afrika hata iweje tutaendelea kuwa Yanga. Na mtakuja sana hapa kwani kwenu hamna kitu.
Technologia gani hii,ya Yanga ya kujidai. Ushamba mtupu. Wacha kubadilisha mada tupo na kipigo mpira hamjui mumezoa kubebwa na kuchonga kwy magazeti , ... mukija uwanjani zerooooo... MIDEBWEDO
nani kabebwa sasa kama sio nyie? kadi nyekundu mbili.. yaani nyie ndio mnaleta mada ambayo haipo huo ushaidi wa kubebwa huko wapi? ninyi sio wanamichezo kabisa yaani mkifungwa tuu basi timu nyingine imebebwa...ooh sijui nini kwani Yanga kumfunga Simba imeanza leo? tutaona basi hao wamisri kama watabebwa.
Yanga ushauri wa Bure, timueni huyo zeru zeru wenu (Wasarbia) njaa kali hawana lolote, wamekuja kuganga nja hapa Bongo. Huyo pipa nasikia ameanza kudoelea ulaji pia Zambia, njaa kali tu hana lolote huyo timua!
Ushauri gani huo labda mnawaogopa hao waserbia kwa kuwa wanafumania nyavu zenu kila mchezo. Sasa kwa taarifa yako ndio kwanza wanapewa dau nono la usajili ili kuimarisha kikosi. Sasa wewe unataka kocha asitafute maslahi? Phiri leo akitakiwa na Zanzibar kwa pesa zaidi yenu asiende? Acha uzandiki wewe..
YANGA NI YANGA NA ITABAKI KUWA YANGA. HAIWEZI KUWA TIMU NYINGINE NA HATUWEZI KUHAMA. SIKU YETU ITAKUJA TUU. SIMBA NAONA MNACHUKIA MLIDHANI TUTAKUWA WANYOONGE KUFUNGWA LEO. SISI NI WANAMICHEZO TUKIFUNGWA HATUTUKANI MTU SIMBA IKIFUNGWA MPAKA WATU WANACHOMWA VISU.. WENZETU KWELI WASHAMBA SANA.
Yanga (Kanda mbili) tangu lini na mpira. Mdebwedo ni kupata kichapo tu, mumepambwa sana kwy magazeti na vyombo vya habari... lakini ss maneno yetu yako uwanjani. Na mumeona kazi ya wanaume..MLIE TU MIDOBWEDO .. KANDA MBILI... KUDADEKI....MALASHI YA UNGUJA.
Mtajiju
Unajua maana ya kuandika kwa herufi kubwa? Maana yake ni kuwa unapiga kelele. Shabiki gani asiyehuzunika timu yake inapofungwa? Lazima utakuwa shabiki mdebwedo!
Yeboyebo kubalini tu kuwa Simba kawafilimba nyumbani na ugenini. Jaribuni tena bahati yenu mwakani
Hah! Hah! Hah! Eti simba wagomvi. Nani katolewa kwa kumpiga mwenzake kichwa uwanjani?
Jamani raha! Leo yaani roho nyeupee!! Kandambili kabonyezwa kelele kwisha mitaani. Rudini kwa Tajiri yenu mkatoe ripoti ya namna mlivyotumia pesa zake kujifunza ngumi. Walahi minjino lazima aingie mitini kwani pesa kala halfu kaleta mtalii kwa madai eti kocha
Matusi hayaendelezi soka, toa maoni yako bila kutukana utaonekana umestaarabika na mpenda soka wa kweli. ACHENI HIZO.
bonyee!!!!!!!
kazi kweli kweli inapokuwa muuza mitumba ndo mwenye akili basi kazi kweli kweli
bonyeeeee!!!!!! mtalijua jiji maana mlizidi kuchonga
Kweli nimeamini Yanga ina influence sana katika Tanzania kuliko timu yeyote ile. Simba wanafuatilia sana hii blogu na ndio tunataka sana hiyo.Yanga ndio timu iliyotwaa ubingwa wa Tanzania mara nyingi kuliko timu nyingine lazima watu wafuatilie maendeleo yake. Hii safi sana.
Post a Comment