Shughuli kwa JKT leo
BAADA ya kuichapa Simba bao 1-0 katika mchezo wa saba wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga inashuka dimbani leo kucheza na JKT Ruvu katika mchezo utakaochezwa katika Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Yanga ambao ni vinara wa ligi kuu waliwa na pointi 19 na kuwaacha watani wao kwa pointi 4 leo watakuwa na kazi ya ziada kuwakabili maafande wa jeshi JKT Ruvu ambao wanapointi 11.
Leo kutakuwa kunamichezo miwili ya ligi kuu ambayo ni Yanga na JKT Ruvu na Toto Afrika wakiwakaribisha jirani zao Kagera Sugar katika uwanja wa CCM Kirumba
.
7 comments:
CM habari za leo, kaka tunasubiri kwa hamu kubwa mchezo huo tunaomba yeyote anayeusikilize atuhabarishe mie niko buoba hapa
Jamani vipi kuhusu yule mghana wetu asamoah mbona haanzi kucheza mwenye taarifa za kina naomba atuelezee
jaman matokeoooooooooooo
jamni sie tulioko mbali mnatuonea kutotupa matokeooo mbona hiviiiiiii?
CM bora utafute msaidizi, maana peke yako sasa inakuwa issue
mechi imemalizika kwa sare ya 0-0
K2 mmedhihirisha mlivyobahatisha J1
Post a Comment