Fainali ya kufa mtu
Hatimaye fainali ya Kagame Castle cup ambayo ilikuwa ikisubiriwa na wengi inapigwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar kati ya Yanga na Simba.
Timu zote mbili zimeingia fainali baada ya kuvuka hatua ya nusu fainali kwa njia ya matuta. Simba iliitoa El Mereikh ya Sudan wakati Yanga iliitoa St. George ya Ethiopia.
Timu hizo mbili zinaingia zikitaka kulinda rekodi zake katika michuano hiyo:
YANGA:
Kocha Sam Timbe katika mechi zote tatu alizotinga fainali. Amefanya hivyo akiwa na SC Villa, Polisi za Uganda na Atraco ya Rwanda.
SIMBA:
Haijapoteza fainali yeyote ya Kagame iliyopigwa katika ardhi ya Tanzania. Tayari imefanya hivyo mara sita.
Mchezaji kwa uhakika atakosa mchezo wa leo kutokana na kadi ni Jerry Santo wa Simba ambaye ana kadi mbili za njano.
Bingwa wa michuano hiyo atajinyakulia dola za Kimarekani 30,000
Timu zote mbili zimeingia fainali baada ya kuvuka hatua ya nusu fainali kwa njia ya matuta. Simba iliitoa El Mereikh ya Sudan wakati Yanga iliitoa St. George ya Ethiopia.
Timu hizo mbili zinaingia zikitaka kulinda rekodi zake katika michuano hiyo:
YANGA:
Kocha Sam Timbe katika mechi zote tatu alizotinga fainali. Amefanya hivyo akiwa na SC Villa, Polisi za Uganda na Atraco ya Rwanda.
SIMBA:
Haijapoteza fainali yeyote ya Kagame iliyopigwa katika ardhi ya Tanzania. Tayari imefanya hivyo mara sita.
Mchezaji kwa uhakika atakosa mchezo wa leo kutokana na kadi ni Jerry Santo wa Simba ambaye ana kadi mbili za njano.
Bingwa wa michuano hiyo atajinyakulia dola za Kimarekani 30,000
12 comments:
haya lete ukweli leo,sio kuogopana.kama wewe simba umekuja hapa karibu lakini ukweli.
Mimi ni Yanga, nawapa nafasi kubwa Simba/
kikosi cha Yanga leo:
1. Berko
2. Nsajigwa
3. Joshua
4. Chacha
5. Nadir
6. Nurdin
7. Taita
8. Seif
9. Mwape
10. Tegete
11. Kiiza
dakika 30 sasa bado ni 0-0
kikosi cha Yanga leo:
1. Berko
2. Nsajigwa
3. Joshua
4. Chacha
5. Nadir
6. Nurdin
7. Taita
8. Seif
9. Mwape
10. Tegete
11. Kiiza
dakika 30 sasa bado ni 0-0
leteni matokeo mlio uwanjani
dakika 108 gumbo amtungua kaseja mpra bado unaendelea
eti huo mpira utaisha saa ngapi? naomba unijibu mdau.
samahani ni asamoh kwa kichwa soma ktk blg michuzi.yanga damu kuwait
hongera wana yanga kwa ubingwa wa kagame kila la kheri tunangoja maendeleo ziada mkereketwa wa yanga kuwait
hayawi hayawi sasa yamekua mnyama kafa na mazishi uwanjani
MNYAMA KACHINJWA NA MTU ALIOTOKA KIFUNGO CHA MIAKA MITATU YAAAAAAAAAAANGA
article is very good,
note my adiratna
Adiratna Blog
blog purno
Post a Comment