Friday, July 08, 2011

KOMBE LA KAGAME

Yanga vs St. George

MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga muda mfupi ujao inaingia uwanjani kupambana na St. George ya Ethiopia katika mchezo wa nusu fainali ya kombe la Kagame itakayopigwa katika Uwanja wa Taifa.

22 comments:

Anonymous said...

jamani tupeni matokeoooo

Anonymous said...

jamani tupeni matokeoooo

Anonymous said...

jamani tupeni matokeoooo

CM said...

Halftime sasa bado ni 0-0

Anonymous said...

Leo hamutoki lazima mupate kichapo tu, piga au mdebwedo

Anonymous said...

fisi wewe kwani kushindwa ni vibaya? nyie mlibebwa mara mbili lakini hamna kitu ,nyie mnatuogopa sisi ndio unakuja hapa useme yanga afungwe,sio haya omba afungwe au nyie mtakufa fainali kumbuka naongea ukweli.

Anonymous said...

Sure leo ni kichapo tu hao, wajewagombee nafasi ya 3

Anonymous said...

we kenge hata ukitukana haikusadii leo subiri upate kichapo tu, mbeleko ya Red sea leo imechanika. mdebwedo kanda mbili wooo wooo

CM said...

Dakika 90 zimemalizika kwa sare ya 0-0

Tunaingia kwenye Extra time sasa

Anonymous said...

simba roho zinawadunda kweli kweli.

Anonymous said...

Jamani matokeo vipi huko ,kwema??

Anonymous said...

Simba au yanga?

Anonymous said...

Tumefungwa 1

Anonymous said...

Ayaaaah..

Anonymous said...

Vp apo Side mbona hakieleweki?

Anonymous said...

dah kwa hiyo tumetolewa

CM said...

YANGA IMEINGIA FAINALI KWA MIKWAJU YA PENATI

Anonymous said...

Watu EEEEEEEEEEHHHHHHHHH!!!!!!!!

Anonymous said...

mnyama kisu kimekufuata rekebisha shingo tukate bichwa oooooooooooooooooooyeeeee

Anonymous said...

waha jamaa walikua wanaomba tutolewee lkn tumewakuta tuonane j,pili

Anonymous said...

tulipolipa $20 elfu walituona hatuna akili hapa pana viongozi makini tuliangalia uwezo watimu hasara na faida tukakuta ni faida mia kwamia ndiomana tulilipa hizo hela 100-20=80 hii ni kwa wapenzi wasimba waliokua hawajui hesabu tehe tehe teheeee

Anonymous said...

safi sana Yanga oyeeeeeeeeeee! lazima kieleweke jpili pale taifa