Thursday, December 18, 2008

Tusker Challenge Cup 2008

KUNDI A
URA vs Mtibwa Sugar ...1-0
Yanga vs URA ......1-0
Yanga vs Mtibwa Sugar (December 20)

KUNDI B

Tusker vs Prisons .........2-0
Simba vs Prisons............2-0
Simba vs Tusker.............(December 21)

31 comments:

Anonymous said...

naona mnyama kaaza kazi tuombe tukutane nae fainali...

Anonymous said...

Nyie mtafungwa tuu, vipi Kagoda FC.... naona sasa mpo kimya hamna tena majigambo, wachezaji wanadai mishahara

Anonymous said...

yanga ina hela hata ziwe za nani,nyie simba mpaka misaada hata huyo hilal kama hakuondoka na ubaya utaniambia wewe pashkuna wa kizenji.

Anonymous said...

HELLO CM VIPI KIBALI CHA BARAZA KIMEFANYIWA KAZI? HEBU TUAMBIE TAFADHALI SANA.

Anonymous said...

Kibali imeota Mbawa....Yeye pamoja and Shikokoti wamesharudi Nairobi...Upuzi na ujinga wa viongozi tulinayo....ahhhhhhhhhh

CM said...

Mtibwa wanaongoza kwa bao 1-0. Goli limefungwa katika dakika ya 8 ya mchezo na Zahoro Pazi (mtoto wa Iddi Pazi)

Anonymous said...

Hilo bao bado halijarudi tu?

Anonymous said...

HT: Bado 0-1

Anonymous said...

lakini hata tukifungwa si tumeshaingia nusu fainali au laaa...vipi line up leo???

Anonymous said...

Tuahitaji angalau sare. Tukifungwa 0-1, timu zote zitakuwa sawa kwa point na magoli ya kufungwa na kufunga, sasa sijui waandaaji watumia kanuni gani kupata timu 2 za kuendelea.

Tukifungwa zaidi ya goli moja, tutakuwa tumetolewa kwa goal difference!

Anonymous said...

normally huwa wanapanga team alpabebtically kwa mantiki hiyo tutayaaga mashindando...

Anonymous said...

Inarushwa shillingi.Tumelala 1-0.

Anonymous said...

Mpira umekwisha kwa kipigo cha 1-0. Timu 2 zitakazofuzu kutoka kundi A zitajulikana baada ya kupigiwa kura kesho.

CM

Anonymous said...

Yanga out...... hayo ndiyo matokeo.... hakuna timu hapo

Anonymous said...

mkiambiwa yanga inaongozwa kienyeji mnasema wivu ,mwenye akili na aelewe ila ukiwa bisha bishana sawa,habari ndo hiyo!!!!

Anonymous said...

Mtibwa na Uganda wamepita, hamna timu hapo, hatuna Mwenyekiti pale

Anonymous said...

Wamepitaje wakati timu zote zina matokeo sawa? Acheni wivu wenu...

Anonymous said...

Shillingi imerushwa tumetolewa.

Anonymous said...

wachezaji walikuwa akina nani?

Anonymous said...

si niliwaambia hatuko tayari kwa hili kombe tujitoe mkanibishia aibu tu tumeambulia.

Anonymous said...

Yanga wamejifungisha wasicheze na simba. Mtibwa nayo timu?

Anonymous said...

acheni kuuliza wachezaji walikuwa nani...mpira umekwisha, tushalala hakuna mwenyekiti wala nani..ujinga tuuu..nae huyo Manji kalala...upuzi tuuu

Anonymous said...

Manji hayupo Yanga tena, wewe hujui hilo

Anonymous said...

au mlikuwa mnawaogopa simba???

Anonymous said...

Hao wanaolaumu Mwenyekiti na Manji, kwani mwenyekiti anacheza namba ngapi? Kama kuna timu isiyo na uongozi basi ni 'hiyo ya kwako' ambayo kila baada ya miezi miwili inakuwa na kocha mpya.

Yanga ikitolewa si sababu ya uongozi au kocha, ni kwamba wachezaji hawakuwa pamoja kwenye maandalizi ya haya mashindano.

Na huyo anayekereketwa na Manji ahamie kwake akaole** nay maana inaonekana huwezi kuchangia kitu hapa bila kumtaja!

Anonymous said...

si nasikia shiling itarushwa leo.
sasa iweje yanga katolewa?
Hebu tufahamisheni..

Anonymous said...

si nasikia shiling itarushwa leo.
sasa iweje yanga katolewa?
Hebu tufahamisheni..

Anonymous said...

Matokeo ya shillingi vipi??CM tunaomba jibu.

Anonymous said...

hakuna jipya yanga zaidi ya majigambo ya kijinga timu yenye wachezaji bora wote wa ukanda huu bado longolongo ,hata ukiwa na akili timamu utagundua timu hata ktk ligi ilikua bomu na ushindi wa kubahatisha tu,timu ya milion 900 ,mnapoteza pesa kusajiri wakenya alafu awachezi uongozi bomu linalosubili kulipuka ,nina wasiwasi na uanasheria wa m/kiti kama si wa kununua ,mwanasheria gani hajui sheria huyo?timu iko mwaka mzima pamoja kukosa wachezaji kwa week moja si kigezo,mfumo wa uchezaji ni uleule na mazoezi walipata kule nation timu, ondoa kocha na uongozi wote pambavu kabisa.

Anonymous said...

mdau hapo juu umesahau kumalizia na neno "WIZI MTUPU"

Anonymous said...

Hakuna timu isiyofungika duniani hata iwe na mastaa wote. Wewe anony wa 3:32:00 vurugu unazoiombea Yanga zikujie wewe mwenyewe. Ushindwe na ulegee.