Monday, February 08, 2010

Yanga vs Mtibwa Sugar
Harakati za ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom inaendelea tena leo kwenye Uwanja wa Uhru wakati Yanga itakapopambana na Mtibwa Sugar.

Yanga ambayo awali iliomba mchezo huo uahirishwe, sasa itautumia mchezo huo kama mazoezi kabla ya kupambana na FC Lupopo ya DRC mwishoni mwa wiki hii.

Yanga hadi sasa imejikusanyia jumla ya pointi 30 ikiwa ni pointi 10 nyuma ya wanaongoza ligi hiyo.

17 comments:

CM said...

dakika 30

Yanga 1 Mtibwa 1

Anonymous said...

sio mbaya magoli yapo jangwani kaza but!!!!!!!!!

CM said...

half time

Yanga 1 Mtibwa 1

CM said...

line up:
1. Obren/Kimathi
2. Mbuna
3. Njoroge
4. Wisdom
5. Nadir
6. Bonny
7. Bengo
8. Babbi
9. Tegete
10. Ambani
11. Shamte

CM said...

dk 81

Yanga imepata bao la pili kupitia kwa Steven Bengo

Anonymous said...

Asante sana, tunangojea final results, Yanga mbele.

Anonymous said...

Vipi matokeo?

CM said...

dakika ya 89

Yanga 3 Mtibwa 1 mfungaji Godfrey Bonny

CM said...

full time

Yanga 3 Mtibwa 1

Ambani dk.15, Bengo dk 81 na Bonny dk 89

CM said...

kwa ushindi wa leo Yanga imefikisha pointi 36. Simba ambayo inaongoza ina pointi 43 itacheza kesho na Manyema FC.

Anonymous said...

Poa mwana aminia -SGM

MUGANYIZI said...

haya jamani tuombe mungu simba achemshe

Anonymous said...

dah yanga mbele kwa mbele..kesho mnyama anadroo

CM said...

Katika mechi kati ya Simba na Manyema inayoendelea hivi sasa, Simba inaongoza 2-0. Dakika 73

Anonymous said...

Mnyama achemshe....unaota kaka]

CM said...

Full time:

Simba 2 Manyema 0

Simba inatakiwa kushinda mechi 3 ili kutwaa ubingwa.

ally mauya said...

kaka samahani mbona unachelewa kutuletea mpya za yanga naomba uwe fasta kaka Yanga mbele nyuma mwiko