Thursday, September 23, 2010

Ligi Kuu ya Vodacom

Mechi ya leo
Yanga vs Kagera Sugar

16 comments:

edwardsikawa said...

CM tupe matokeo.sisi wengine tupo mbali.

edwardsikawa said...

CM tupatie matokeo tujue nini kinaendelea uko Jamhuri.

Anonymous said...

Yanga wanaongoza kwa bao 1 lililofungwa na Tegete

Anonymous said...

labda hakuna umeme si unajua tena

CM said...

dakika 90 zimemalizika kwa ushindi wa 2-0. Mabao yaliyofungwa na Jerry Tegete (32) na Ernest Boakye (90)

Anonymous said...

cm vipi toto huko nyamagana matokeo vipi?

Anonymous said...

Simba 2 Toto 0

Anonymous said...

cm vipi matokeo huko?

Anonymous said...

RUVU 2 YANGA 0

Anonymous said...

umevuta bangi au ?

Anonymous said...

Hupendi matokeo mbona ndio ukweli??

Anonymous said...

Hupendi matokeo mbona ndio ukweli??

Anonymous said...

kwani ajabu?

Anonymous said...

naamini kabisa tumekufaaaaaaaaa.

Anonymous said...

Yanga kisha fungwa moja, bado dakika kama 18 hivi.

CM said...

Yanga imejiongezea pointi nyingine tatu baada ya kuichapa Ruvu Shooting Stars kwa 2-0.

Mabao yalifungwa na Jerry Tegete na Iddi Mmbaga.